Kumbe hata Mabepari huzikimbilia sera za kijamaa mambo yakienda kombo

Great...but don't you think perhaps we learned something from the Americans (in terms of what was wrong with their declaration) being that we gained independence nearly 200 years after it (the declaration) was written?

kwanini Afrika ya Kusini hawakujifunza hilo? Kwanini Ureno hawakujifunza hilo? Kwanini Rhodesia hawakujifunza hilo? Kwanini Tanzania iliweza kujifunza hilo na kuliweka kuwa ni Azimio lao? Ni nchi gani nyingine ya Kiafrika ambayo ilipata nafasi ya kusoma Azimio la marekani na wakaamua kujenga kwa namna yao wao wenyew kama kanuni ya kuwaongoza na kuchukua hatua za kufanya hivyo?

Ghana wao walichukua "Motto" yao na kusema "Uhuru na Haki". Sisi tulichukua ya kwetu na kusema "Uhuru na Usawa" na baadaye pia "Uhuru na Umoja". Kwanini tulichukulia mambo hayo very serious na si nchi nyingine? siyo Kenya, Uganda, Congo, n.k ikawa ni Tanzania?

Wakati Ghana walikubali kutambua vyeo vya kijadi, sisi Katiba yetu ilivikataa tangu mwanzo kwa misingi ya usawa. kwanini Tanzania?

Leo hii tunaishi katika taifa ambalo watu wake hawaelewi inakuwaje mataifa mengine yanayotuzunguka yamegubikwa na mapigano ya wenyewe kwa wenyewe na vurugu za kisiasa lakini siyo Tanzania? Je yawezekana kuwa ni bahati tu kuwa tuna Taifa leo ambao watu wake wanafurahia utajiri wa kila namna lakini bado wanatambua ya kuwa katika utajiri huo bado ni kikundi cha watu watu wachache kinaonekana kikinufaika?

Je ni kwa bahati tu kwamba Tanzania ilikuwa inaheshimika duniani katika kutetea haki na hadhi ya mtu mweusi na kupinga ubeberu na unyonyaji wa mtu mmoja na mwingine?

Je yawezekana Mungu alitupendelea sana na kutupa taifa kama hili na kuwanyima Kenya, Uganda, Congo, Zimbabwe, Afrika ya Kusini n.k?
 
Wanabidi, Hivi maana halisi ya neno UTUMWA ni lipi na limetokana na nini?..
Je, mtumwa ni yule waliochukuliwa na kulazimishwa kufanya kazi? - Waafrika.. au Watumishi (vijakazi) wanaofanya kazi kwa malipo madogo...
Maanake hata wakati wa Pharaoh tuliona watumwa ambao walikwenda kutafuta maisha Egypt na waikaishia utumwa kama vile kina sisi tunaobebaq box leo hii nchi hizi..
Pia kuna wafanyakazi ktk majumba yetu ya uswahilini hawa wako klundi gani? sio watumwa ama ni lazima kuwepo na kitendo cha kulazimishwa kufanya kazi bila malipo halali..
 
kwanini Afrika ya Kusini hawakujifunza hilo? Kwanini Ureno hawakujifunza hilo? Kwanini Rhodesia hawakujifunza hilo? Kwanini Tanzania iliweza kujifunza hilo na kuliweka kuwa ni Azimio lao? Ni nchi gani nyingine ya Kiafrika ambayo ilipata nafasi ya kusoma Azimio la marekani na wakaamua kujenga kwa namna yao wao wenyew kama kanuni ya kuwaongoza na kuchukua hatua za kufanya hivyo?

Ghana wao walichukua "Motto" yao na kusema "Uhuru na Haki". Sisi tulichukua ya kwetu na kusema "Uhuru na Usawa" na baadaye pia "Uhuru na Umoja". Kwanini tulichukulia mambo hayo very serious na si nchi nyingine? siyo Kenya, Uganda, Congo, n.k ikawa ni Tanzania?

Wakati Ghana walikubali kutambua vyeo vya kijadi, sisi Katiba yetu ilivikataa tangu mwanzo kwa misingi ya usawa. kwanini Tanzania?

Leo hii tunaishi katika taifa ambalo watu wake hawaelewi inakuwaje mataifa mengine yanayotuzunguka yamegubikwa na mapigano ya wenyewe kwa wenyewe na vurugu za kisiasa lakini siyo Tanzania? Je yawezekana kuwa ni bahati tu kuwa tuna Taifa leo ambao watu wake wanafurahia utajiri wa kila namna lakini bado wanatambua ya kuwa katika utajiri huo bado ni kikundi cha watu watu wachache kinaonekana kikinufaika?

Je ni kwa bahati tu kwamba Tanzania ilikuwa inaheshimika duniani katika kutetea haki na hadhi ya mtu mweusi na kupinga ubeberu na unyonyaji wa mtu mmoja na mwingine?

Je yawezekana Mungu alitupendelea sana na kutupa taifa kama hili na kuwanyima Kenya, Uganda, Congo, Zimbabwe, Afrika ya Kusini n.k?

Mwanakijiji,

Kwa kuwa tuna ujamaa, na kwa kuwa tuna amani, does it follow ujamaa wetu ndiyo umeleta amani?
 
kwanini Afrika ya Kusini hawakujifunza hilo? Kwanini Ureno hawakujifunza hilo? Kwanini Rhodesia hawakujifunza hilo? Kwanini Tanzania iliweza kujifunza hilo na kuliweka kuwa ni Azimio lao? Ni nchi gani nyingine ya Kiafrika ambayo ilipata nafasi ya kusoma Azimio la marekani na wakaamua kujenga kwa namna yao wao wenyew kama kanuni ya kuwaongoza na kuchukua hatua za kufanya hivyo?

Ghana wao walichukua "Motto" yao na kusema "Uhuru na Haki". Sisi tulichukua ya kwetu na kusema "Uhuru na Usawa" na baadaye pia "Uhuru na Umoja". Kwanini tulichukulia mambo hayo very serious na si nchi nyingine? siyo Kenya, Uganda, Congo, n.k ikawa ni Tanzania?

Wakati Ghana walikubali kutambua vyeo vya kijadi, sisi Katiba yetu ilivikataa tangu mwanzo kwa misingi ya usawa. kwanini Tanzania?

Leo hii tunaishi katika taifa ambalo watu wake hawaelewi inakuwaje mataifa mengine yanayotuzunguka yamegubikwa na mapigano ya wenyewe kwa wenyewe na vurugu za kisiasa lakini siyo Tanzania? Je yawezekana kuwa ni bahati tu kuwa tuna Taifa leo ambao watu wake wanafurahia utajiri wa kila namna lakini bado wanatambua ya kuwa katika utajiri huo bado ni kikundi cha watu watu wachache kinaonekana kikinufaika?

Je ni kwa bahati tu kwamba Tanzania ilikuwa inaheshimika duniani katika kutetea haki na hadhi ya mtu mweusi na kupinga ubeberu na unyonyaji wa mtu mmoja na mwingine?

Je yawezekana Mungu alitupendelea sana na kutupa taifa kama hili na kuwanyima Kenya, Uganda, Congo, Zimbabwe, Afrika ya Kusini n.k?

Sasa njombi vipi tena...badala ya kujibu swali langu moja unaniuliza miswali kibao? Arrrrgggghhhh.....sometimes you can be very long winded....I'm off to lunch at PF Chang's......later
 

...ninachokwambia ni kwamba hata kama unaishi katika nchi za kibeapari bado una haki ya kukosoa ubepari. Si ndiyo hao wanapita kutwambia tufungue masoko yetu ili bidhaa zao zipate kuingizwa na wakati huo huo bidhaa zetu hawaruhusu ziingie kwenye nchi zao? sasa biashara huru iko wapi hapo? huoni hapo kama ubepari ni unyama? Wakati wanatulazimisha sisi tufungue masoko yetu wao masoko yao bado wameyafunga ili bidhaa zetu zisiingie kwao.

Usiobweteke eti kwa kuwa unaishi nchi za kibepari basi sera zao zote ni nzuri, ingekuwa sera zao zote ni nzuri, wangeacha tu 'business as usual' iendelee bila kuingilia kati na kutumia fedha za walipa kodi ili kunusuru uchumi wa nchi.

Kama wewe kwa kuwa unaishi nchi za mabepari huoni la kukosoa katika sera zao, basi usitake kumlamzimisha kila mtu akafuata nyayo zako eti kwa kuwa tunaishi katika nchi hizo basi hatuna haki ya kukosoa.

Sikusema huwezi kukosoa sera za sehemu unayoishi. Naomba tuwe wakweli maana hapa kuna rekodi ya tulivyovisema. Uliona kabisa nimesema hivi:

Pointi yangu, Mkandara, ni kwamba unaweza kukosoa mfumo ambao unaishi ndani yake. Lakini kusema mfumo nilioukimbia ni bora kuliko mfumo nilioukimbilia ni kutaka kumtukana baniani mbaya wakati unajua utarudi kumuomba kiatu chake. Sorta like Mchungaji Mtikila na Rostam Aziz! Ndio maana nauliza ndugu zangu kama Bubu AK, kwamba mtu yeyote aliyekimbia the good 'ol socialist Tanzania kwenda "pasipo na utu" na "kwa makatili" wa kipebari, kilichowakimbiza kwa mabepari ni nini? Bubu AK anakwepa hilo swali.

Tuwe wakweli Bubu.

Ninachokwambia ni hiki: Kama unasema "kwa maoni yangu mazuri ya ujamaa ni mengi mno kuliko mazuri ya ubepari..." sasa kwa nini umekimbilia kwa mabepari?

Jibu hilo swali.
 
Sikusema huwezi kukosoa sera za sehemu unayoishi. Naomba tuwe wakweli maana hapa kuna rekodi ya tulivyovisema. Uliona kabisa nimesema hivi:



Tuwe wakweli Bubu.

Ninachokwambia ni hiki: Kama unasema "kwa maoni yangu mazuri ya ujamaa ni mengi mno kuliko mazuri ya ubepari..." sasa kwa nini umekimbilia kwa mabepari?

Jibu hilo swali.

Umeng'ang'ania hilo swali, nimeshakujibu mar chungu nzima. Kuisgi katika nchi za mabepari haikuzuii kukosoa kasoro mbali mbali za sera za kibepari, kama hutaki kuliona hilo basi utajiju. Mtu aliyekimbia kwao ni yule ambaye ametenda kosa na hana mpango wa kukanyaga tena kwao. Kama wewe 'ulikimbia' kwenu kazi kwako.
 
Umeng'ang'ania hilo swali, nimeshakujibu mar chungu nzima. Kuisgi katika nchi za mabepari haikuzuii kukosoa kasoro mbali mbali za sera za kibepari, kama hutaki kuliona hilo basi utajiju. Mtu aliyekimbia kwao ni yule ambaye ametenda kosa na hana mpango wa kukanyaga tena kwao. Kama wewe 'ulikimbia' kwenu kazi kwako.

Kila mfumo una kasoro zake. Wewe hujakosoa kasoro tu. Umesema "mazuri ya ujamaa ni mengi mno kuliko mazuri ya ubepari."

Sasa tusikwepe kwepe ukweli hapa. Kama unaishi kwa mabepari ndio maana yake hiyo: tumekimbilia viwanja! Hakuna obfuscation hapo. Kama umesema "mazuri ya ujamaa ni mengi mno kuliko mazuri ya ubepari" kwa nini umekimbilia kwa mabepari ? Naona swali linakuwa gumu kidogo.
 
Kila mfumo una kasoro zake. Wewe hujakosoa kasoro tu. Umesema "mazuri ya ujamaa ni mengi mno kuliko mazuri ya ubepari."

Sasa tusikwepe kwepe ukweli hapa. Kama unaishi kwa mabepari ndio maana yake hiyo: tumekimbilia viwanja! Hakuna obfuscation hapo. Kama umesema "mazuri ya ujamaa ni mengi mno kuliko mazuri ya ubepari" kwa nini umekimbilia kwa mabepari ? Naona swali linakuwa gumu kidogo.

Kuhani,

Let me be the self appointed defense attorney.

In Bubu's defense, hakuna contradiction kati ya alichosema na alichofanya.

Inawezekana kabisa kwamba on the whole mambo mazuri ya ujamaa yakazidi mazuri ya ubepari, this being an average / general assesment, it does not say anything about specifics.

Lakini inawezekana pia kwamba bubu ana focus kwenye specific fulani tu zaidi (elimu, kutafuta hela etc) ambayo mfumo wa kibepari unaweza kuwa mzuri kuliko mfumo wa kijamaa.

kwa hiyo yeye kuwa alipo hakuleti contradiction na assesment yake ya generalities.
 
Kuhani,

Let me be the self appointed defense attorney.

In Bubu's defense, hakuna contradiction kati ya alichosema na alichofanya.

Inawezekana kabisa kwamba on the whole mambo mazuri ya ujamaa yakazidi mazuri ya ubepari, this being an average / general assesment, it does not say anything about specifics.

Lakini inawezekana pia kwamba bubu ana focus kwenye specific fulani tu zaidi (elimu, kutafuta hela etc) ambayo mfumo wa kibepari unaweza kuwa mzuri kuliko mfumo wa kijamaa.

kwa hiyo yeye kuwa alipo hakuleti contradiction na assesment yake ya generalities.

Mmmhhh...I'm not sure I understand you.....
 
Sasa njombi vipi tena...badala ya kujibu swali langu moja unaniuliza miswali kibao? Arrrrgggghhhh.....sometimes you can be very long winded....I'm off to lunch at PF Chang's......later

ndio tatizo la kushika chaki hilo.. Mwalimu wangu wa historia alikuwa anachukia kweli akitoa swali la "Discuss"...
 
kwa hiyo yeye kuwa alipo hakuleti contradiction na assesment yake ya generalities

Mmmhhh...I'm not sure I understand you.....


Hakuna contradiction kati yaBubu kuwa viwanja na kusema mfumo wa kijamaa, in general, ni mzuri kuliko mfumo wa kibepari.

Kwa sababu binadamu, kama asivyoishi kwa mkate tu, haishi kwa generalities tu, anaishi kwa specifics pia.Vipi kama bubu anaona in general mfumo wa kijamaa ni mzuri lakini yeye anataka ku focus kwenye specific fulani (kutafuta fedha, elimu etc) ambayo mfumo wa kibepari unaweza kuwa mzuri zaidi?

Hata wewe tukichukua the sum of the probabilities of the wave motions of your wave / particles tunaweza kupata a very different person.Kuna mambo mengine yanazuiwa na uncertainty principle na hatuwezi ku muse kwenye specifics, inabidi tu stick na generalities, mengine yanakuwa dictated na generalities na hatuwezi ku muse sana kwenye specifics.
 
Hakuna contradiction kati yaBubu kuwa viwanja na kusema mfumo wa kijamaa, in general, ni mzuri kuliko mfumo wa kibepari.

Kwa sababu binadamu, kama asivyoishi kwa mkate tu, haishi kwa generalities tu, anaishi kwa specifics pia.Vipi kama bubu anaona in general mfumo wa kijamaa ni mzuri lakini yeye anataka ku focus kwenye specific fulani (kutafuta fedha, elimu etc) ambayo mfumo wa kibepari unaweza kuwa mzuri zaidi?

Hata wewe tukichukua the sum of the probabilities of the wave motions of your wave / particles tunaweza kupata a very different person.Kuna mambo mengine yanazuiwa na uncertainty principle na hatuwezi ku muse kwenye specifics, inabidi tu stick na generalities, mengine yanakuwa dictated na generalities na hatuwezi ku muse sana kwenye specifics.

Siwezi kubisha wala kukataa maono ya mtu....

Heavy D had a song..."you can't see what I can see".....
 
Kila mfumo una kasoro zake. Wewe hujakosoa kasoro tu. Umesema "mazuri ya ujamaa ni mengi mno kuliko mazuri ya ubepari."

Sasa tusikwepe kwepe ukweli hapa. Kama unaishi kwa mabepari ndio maana yake hiyo: tumekimbilia viwanja! Hakuna obfuscation hapo. Kama umesema "mazuri ya ujamaa ni mengi mno kuliko mazuri ya ubepari" kwa nini umekimbilia kwa mabepari ? Naona swali linakuwa gumu kidogo.

Kuhani, katiba ya Tanzania ina kipengele kinachosema Mtanzania yeyote yule ana haki ya kwenda popote pale duniani ili mradi havunji sheria. Hivyo achana na dhana potofu kwamba Watanzania walio nje wameikimbia Tanzania.
 
Kuhani, katiba ya Tanzania ina kipengele kinachosema Mtanzania yeyote yule ana haki ya kwenda popote pale duniani ili mradi havunji sheria. Hivyo achana na dhana potofu kwamba Watanzania walio nje wameikimbia Tanzania.

Watu weeeeeeeeeee!
 
Kuhani,

Let me be the self appointed defense attorney.

In Bubu's defense, hakuna contradiction kati ya alichosema na alichofanya.

Inawezekana kabisa kwamba on the whole mambo mazuri ya ujamaa yakazidi mazuri ya ubepari, this being an average / general assesment, it does not say anything about specifics.

Lakini inawezekana pia kwamba bubu ana focus kwenye specific fulani tu zaidi (elimu, kutafuta hela etc) ambayo mfumo wa kibepari unaweza kuwa mzuri kuliko mfumo wa kijamaa.

kwa hiyo yeye kuwa alipo hakuleti contradiction na assesment yake ya generalities.

Pundit,

Sasa Mr. defense attorney, ngoja nielekeze contacts zote kupitia kwako.

Bubu AK, ambaye yuko on defense hapa, kasema kwamba "mazuri ya ujamaa ni mengi mno kuliko mazuri ya ubepari."

Ina maana kwenye Ujamaa ni kuzuri kuliko kwenye Ubepari. Sawa ?

Kama sio sawa nieleze ni kivipi.

Na kama ni sawa, sasa kwa nini kakimbilia sehemu ambayo sio nzuri zaidi ?
 
Wewe unayeona sera za kibepari hazina matatizo kaa kimya usihoji chochote kile kuhusu sera za kibepari na sisi wengine ambao tunaona sera za kibepari zina kasoro basi hatutasita kuzijadili kasoro hizo na zipo nyingi tu lakini kamwe hatuwezi kufuata mawazo yako eti kwa kuwa unaishi katika nchi ya kibepari basi kila kitu ni shwari!!! Kawadanganye watu wengine hilo kwamba nchi za kibepari kila kitu ni shwari na ni haramu kuhoji sera za kibepari kama uanishi katika mojawapo ya nchi hizo.
 
US 'casino' mentality blamed for planet's meltdown

By ALAN CLENDENNING, AP Business Writer Tue Sep 30, 5:21 PM ET

SAO PAULO, Brazil - Astounded by the U.S. government's failure to resolve the financial crisis threatening the foundations of the global free market, fingers of blame are pointing at America from around the planet.
[SIZE=-2]ADVERTISEMENT[/SIZE]
<SCRIPT language='JavaScript1.1' SRC="http://ad.doubleclick.net/adj/N5226.Yahoo/B2823920.8;abr=!ie;sz=300x250;dcopt=rcl;mtfIFrameRequest=false;click=http://us.ard.yahoo.com/SIG=14u0tu9p6/M=647408.13015207.13221968.1442997/D=news/S=85074877:LREC/_ylt=AsYXTbBHbWbzEet0nM3oBOm9IxIF/Y=YAHOO/EXP=1222829396/L=mjr_l0wNc1h9USsPSAoepgdoRQK4NUjiyTQABrAs/B=Lq5AFUwNBkU-/J=1222822196457910/A=5379319/R=1/*;ord=1222822196457910"> </SCRIPT> <NOSCRIPT> <A HREF="http://us.ard.yahoo.com/SIG=14u0tu9p6/M=647408.13015207.13221968.1442997/D=news/S=85074877:LREC/_ylt=AsYXTbBHbWbzEet0nM3oBOm9IxIF/Y=YAHOO/EXP=1222829396/L=mjr_l0wNc1h9USsPSAoepgdoRQK4NUjiyTQABrAs/B=Lq5AFUwNBkU-/J=1222822196457910/A=5379319/R=2/SIG=13a0m96u9/*http://ad.doubleclick.net/jump/N5226.Yahoo/B2823920.8;abr=!ie4;abr=!ie5;sz=300x250;ord=1222822196457910?"> <IMG SRC="http://ad.doubleclick.net/ad/N5226.Yahoo/B2823920.8;abr=!ie4;abr=!ie5;sz=300x250;ord=1222822196457910?" BORDER=0 WIDTH=300 HEIGHT=250 ALT="Click Here"></A> </NOSCRIPT>
b

Latin American leaders say the U.S. must quickly fix the financial crisis it created before the rest of the world's hard-won economic gains are lost.
"The managers of big business took huge risks out of greed," said President Oscar Arias of Costa Rica, whose economy is highly dependent on U.S. trade. "What happens in the United States will affect the entire world and, above all, small countries like ours."
In Europe, where some blame a phenomenon of "casino capitalism" that has become deeply engrained from New York to London to Moscow, there is more of a sense of shared responsibility. But Europeans also blame the U.S. government for letting things get out of hand.
Amid harsh criticism is a growing consensus that stricter financial regulation is needed to prevent unfettered capitalism from destroying economies around the globe.
And leaders of developing nations that kept spending tight and opened their economies in response to American demands are warning of other consequences - a loss of U.S. influence globally and the likelihood that the world's poor will suffer the most from greed by the biggest players in global finance.
"They spent the last three decades saying we needed to do our chores. They didn't," a grim-faced Brazilian President Luiz Inacio Lula da Silva said Tuesday.
Even staunch U.S. allies like Colombian President Alvaro Uribe blasted the world's most powerful country for egging on uncontrolled financial speculation that he compared to a wild horse with no reins.
"The whole world has financed the United States, and I believe that they have a reciprocal debt with the planet," he said.
It's harder for European leaders to point the finger directly at the United States since many of their financiers participated in the recklessness. London was home to the division of failed insurer AIG that racked up huge losses on credit-default swaps, and many reputable European banks disregarded risk to load up on higher yielding subprime assets.
But the House's rejection Monday of the U.S. bank bailout proposed by Treasury Secretary Henry Paulson provoked a sharper tone and warnings that America must act. Though global markets on Tuesday recovered some of the ground they lost in a worldwide slide the day before, politicians from Europe to South America insisted the risk of a further plunge remains high.
German Chancellor Angela Merkel called on U.S. lawmakers to pass a package this week, saying it was the "precondition for creating new confidence on the markets - and that is of incredibly great significance."
In an unusually blunt statement from the 27-country European Union, EU Commission spokesman Johannes Laitenberger said: "The United States must take its responsibility in this situation, must show statesmanship for the sake of their own country, and for the sake of the world."
The crisis also has strengthened voices in France and Germany calling for EU regulations to eliminate highly deregulated financial markets, despite objections from Britain, which along with the U.S. is considered by some to practice a freer form of "Anglo-Saxon" capitalism.
"This crisis underlines the excesses and uncertainties of a casino capitalism that has only one logic - lining your pockets," said German lawmaker Martin Schulz, chairman of the Socialists in the EU assembly. "It also shows the bankruptcy of 'law of the jungle' capitalism that no longer invests in companies and job creation, but instead makes money out of money in a totally uncontrolled way."
The U.S. government's failure to apply rules that might have prevented the crisis is seen as a betrayal in many developing countries that faced intense U.S. pressures to liberalize their economies. In some developing nations, state enterprises were privatized, currencies were allowed to float against the U.S. dollar and painful measures were taken to bring down debts.
These advances are at risk now that credit is drying up. Countries with commodities-based economies are particularly vulnerable since more industrialized nations could reduce their demand for everything from soy to iron ore.
"It doesn't seem fair to me that those of us who endured so much hunger in the 20th century, who began to improve in the 21st century, should have to suffer due to the international financial system," Silva said. "There are going to be a lot of people going hungry in the world."
Just before meeting with Silva on Tuesday, Venezuelan leader Hugo Chavez said he believes a new economic order is in store for the planet.
"What's to blame? Imperialism, the United States, the irresponsibility of the United States government," said the self-avowed socialist and frequent U.S. critic. "From this crisis, a new world has to emerge, and it's a multi-polar world."
China's influence in the outcome of all this could be profound because it is a huge investor in U.S. debt. It is already calling for strict new international regulatory systems to apply to globalized financial markets.
Liu Mingkang, chairman of the Chinese Banking Regulatory Commission, said Saturday before a weeklong bank holiday in China that debt in the United States and elsewhere has risen to dangerous and indefensible levels.
The rest of the world is taking notice. Many newspapers made references Tuesday to China's increasing importance in global finance. In Algeria, a large cartoon on the front page of the newspaper El-Watan showed Uncle Sam at prayer: "Save us!" he says, kneeling before a portrait of China's Mao Zedong.
In London, Jane Ayerson, a 20-year-old Irish exchange student, said Europeans share the blame.
"The problem started with America, but banks here have been greedy, too," she said.
___
Associated Press writers Michelle Faul in Johannesburg, South Africa; Alfred de Montesquiou in Algiers, Algeria; Raf Cassert in Brussels, Belgium; Jane Wardell and David McHugh in London; and Marco Sibaja in Manaus, Brazil, contributed to this report.

 
Back
Top Bottom