james chapacha
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 939
- 200
KAMATA WEZI MEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEN! Mtoto anamajungu kama bba yake,nimwongo kama wapo awataje.
- Kati ya yote niliyoyaona huku Dodoma kwenye Kampeni, hili limenishangaza kuliko yote; I mean niliamini kwamba huko ndiko kwenye alternative, lakini now nina mtizamo tofauti sana na Wapinzani, sio kama nilivyokuwa ninawaona zamani wengi nilikuwa ninawaheshimu sana ila wamenishangaza sana baadhi yao!
William @Dodoma City!
- Kati ya yote niliyoyaona huku Dodoma kwenye Kampeni, hili limenishangaza kuliko yote; I mean niliamini kwamba huko ndiko kwenye alternative, lakini now nina mtizamo tofauti sana na Wapinzani, sio kama nilivyokuwa ninawaona zamani wengi nilikuwa ninawaheshimu sana ila wamenishangaza sana baadhi yao!
William @Dodoma City!
...mi huwa nakelwa sana na watu wanao-mungunya maneno au kuzunguka mbuyu...wewe cjui unaitwa nani vile,ebu tuondole mambo yako ya kitoto hapa,kama unashidwa kuwataja hao wapokea rushwa,funga mdomo wako na ukae kimya...watu tunakelwa sana na mafisadi bila kujali wako chama tawala au upinzan,sasa tumetega masiki ututajie hao manyangau uliojificha ktk vyama vya upinza,wewe tena unaanza kuzunguka zunguka...ebu tulia kwanza usije upatwa na mtikisiko wa ubungo baada ya kushindwa ubunge wa EA...- Well, tumeambiwa sana hapa kwamba tujiunge na timu za ushindi huko Upinzani, sasa kwenye kampeni tulikuwa tunaangalia sana kwa makini mwenendo, I mean kuna walio straight hawana muda wa ujinga wapo kama nilivyokuwa ninawaona siku zote, lakini wengine wamenisikitisha sana, hasa the idea niliyokuwa nayo zamani kwamba wote ni wasafi na ni the alternative!
Willie!
Jamaa amekuja kushitaki wabunge wetu jamvini du! Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha! Kudadadadeki wahi kumwamisha mama Migiro UN si June mkuu utaambulia TP na tu perfume!
hana lolote huyu ndo maana wakala hela zake.je wangepokea then wampe kura angesemaje.? twende jukwaa letu bwana huku kumekaa kibab ban can you imagine mtu mzima unapost ***** kama huu kwa great thinkers?Mkuu this is naive to say the least...
Mkuu upinzani ni alternative (hata kama sio wasafi) ila upinzani ukiwa strong uta-police walio madarakani.., Upinzani ukichukua nchi.., itabidi wajiangalie na kuwajibika sababu wasipofanya hivyo wenzao watachukua nchi come next five years..
Hivyo basi cancer na matatizo ya Tanzania ni nguvu ya CCM ambao wamejisahau na hakuna wanachofanya wala kuogopa kuhusu kesho.. (kwahio wewe kuimarisha hio cancer utakuwa ni kama virus inayoendelea kudhoofisha mwili)
Kweli Mkuu huyu jamaa na CHICHIDODO ni sawa sawa, wanafiki , anyway tuanajua ndugu huy kajifunza sasaUmetoa salute ya kinafiki. Wewe ni sawa na chichidodo anayekichukia kinyesi lakini anakula funza wanaotokana na kinyesi.
mtoa rushwa na mpokea rushwa wote ni makafiri..kwa nini ulimpa sasa? mbona hawajakuchagua le mutuz
hana lolote huyu ndo maana wakala hela zake.je wangepokea then wampe kura angesemaje.? twende jukwaa letu bwana huku kumekaa kibab ban can you imagine mtu mzima unapost ***** kama huu kwa great thinkers?
- Kati ya yote niliyoyaona huku Dodoma kwenye Kampeni, hili limenishangaza kuliko yote; I mean niliamini kwamba huko ndiko kwenye alternative, lakini now nina mtizamo tofauti sana na Wapinzani, sio kama nilivyokuwa ninawaona zamani wengi nilikuwa ninawaheshimu sana ila wamenishangaza sana baadhi yao!
William @Dodoma City!
- Kati ya yote niliyoyaona huku Dodoma kwenye Kampeni, hili limenishangaza kuliko yote; I mean niliamini kwamba huko ndiko kwenye alternative, lakini now nina mtizamo tofauti sana na Wapinzani, sio kama nilivyokuwa ninawaona zamani wengi nilikuwa ninawaheshimu sana ila wamenishangaza sana baadhi yao!
William @Dodoma City!
Jamaa amekuja kushitaki wabunge wetu jamvini du! Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha! Kudadadadeki wahi kumwamisha mama Migiro UN si June mkuu utaambulia TP na tu perfume!
- Kati ya yote niliyoyaona huku Dodoma kwenye Kampeni, hili limenishangaza kuliko yote; I mean niliamini kwamba huko ndiko kwenye alternative, lakini now nina mtizamo tofauti sana na Wapinzani, sio kama nilivyokuwa ninawaona zamani wengi nilikuwa ninawaheshimu sana ila wamenishangaza sana baadhi yao!
William @Dodoma City!
- Kati ya yote niliyoyaona huku Dodoma kwenye Kampeni, hili limenishangaza kuliko yote; I mean niliamini kwamba huko ndiko kwenye alternative, lakini now nina mtizamo tofauti sana na Wapinzani, sio kama nilivyokuwa ninawaona zamani wengi nilikuwa ninawaheshimu sana ila wamenishangaza sana baadhi yao!
William @Dodoma City!
- Well, tumeambiwa sana hapa kwamba tujiunge na timu za ushindi huko Upinzani, sasa kwenye kampeni tulikuwa tunaangalia sana kwa makini mwenendo, I mean kuna walio straight hawana muda wa ujinga wapo kama nilivyokuwa ninawaona siku zote, lakini wengine wamenisikitisha sana, hasa the idea niliyokuwa nayo zamani kwamba wote ni wasafi na ni the alternative!
Willie!