ahahaaa aendelee tu kuwa mgeni rasmi wa mabirthday party za maledies mjini hapaLe Mutuz kaliwa pesa zake za kubeba mabox kwenye meli na wajanja wa upinzani na kura wamempiga dash, naona alikuwa na matarajio mengi kutoka upinzani wamekula hela alafu kura wamepiga panapo faa.
- Well, ninaamini kwamba ujumbe umefika na hasa unapotakiwa hasa kwa wale mnaotulilia kila siku hapa kwamba tuende huko as the alternative!
ok siku njema sana people!
Willie!
Wapo sahihi kama wamekula tupesa twako na wakampigia mgombea mwenye sifa. Hii ndo style ya wapiga kura wa leo
Willy twende taratibu, huwezi kuisifia mvuwa kama haijakunyeshea, itakuwa unatenda haki kama utasema wazi wazi kwamba dau lako ulikuwa unahonga shilling ngapi ngapi na kampeni meneja wako alikuwa ni nani?- Nape yupo Europe hakuwepo hapa na wala hahihusu, ila ujumbe wangu ni kwa wale wanaosema tuhamie huko kwenye ushindi kwa sababu hawajui rushwa wala hawana uchafu, that is all!
Naona nimegusa pabaya! ha! ha! ha! ha! ha!
Willie!
- Kati ya yote niliyoyaona huku Dodoma kwenye Kampeni, hili limenishangaza kuliko yote; I mean niliamini kwamba huko ndiko kwenye alternative, lakini now nina mtizamo tofauti sana na Wapinzani, sio kama nilivyokuwa ninawaona zamani wengi nilikuwa ninawaheshimu sana ila wamenishangaza sana baadhi yao!
William @Dodoma City!
- Kati ya yote niliyoyaona huku Dodoma kwenye Kampeni, hili limenishangaza kuliko yote; I mean niliamini kwamba huko ndiko kwenye alternative, lakini now nina mtizamo tofauti sana na Wapinzani, sio kama nilivyokuwa ninawaona zamani wengi nilikuwa ninawaheshimu sana ila wamenishangaza sana baadhi yao!
William @Dodoma City!
ahahaaa aendelee tu kuwa mgeni rasmi wa mabirthday party za maledies mjini hapa
papaa ya ngwasuma na kitimoto
ana makindaTaja majina ya uliowapa pesa zako william..acha porojo...!!!
halafu jamaa amekaa kulizwa lizwa sana huyu hata ningekuwa mimiWilly twende taratibu, huwezi kuisifia mvuwa kama haijakunyeshea, itakuwa unatenda haki kama utasema wazi wazi kwamba dau lako ulikuwa unahonga shilling ngapi ngapi na kampeni meneja wako alikuwa ni nani?
Maana nina wasi wasi huenda Agent wako alikuingiza mkenge kwamba Wabunge wa upinzani inabidi uwaonge kwa kupanda dau kumbe mwenzako leo zile pesa anapita pita kwenye vishow room vya magari, inshort umeingizwa mjini na kama uniamini sikiliza kamati ya mazishi ya Kanumba wanasema wametumia millioni 60.
Karibu sana Bongo.
hata hakuwa baharini mbona? alipokuwa hata hawezi kurudiHivi bado yupo @Dodoma? Aje Mango Garden tu kurusha roho
Sasa tupesa wamemulia wapinzani kwa ahadi ya kumpigia kura na kanyimwa arudi tu baharini kubeba box.
Pesa unapokea kura unampigia mgombea sahihi, aliye honga unamnyima kura.
Hujasikia falsafa ya Upinzani kula CCM ila kura upinzani