Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,445
Kutokea sayari nyingine - MARS may be!!!Akitokea mwanaume ataolewa.
Kutokea sayari nyingine - MARS may be!!!Akitokea mwanaume ataolewa.
Unamzungumzis MX acha utani mx ashobokee watu maarufu hahahshaKuna jamaa mmoja kama mmasai(mshobokeaji watu maarufu)ni mpiga picha maarufu kila siku yupo nae. Huyo anaweza kutoa connection.
Infact ni demu mkali sana sema hio mikato yake na hizo attitude za ndumu inafanya aoneka kiundeSiku hizi kaanza kujiweka kijikejike au mzuka umeaanza kumpanda
Huyu mwanamke ana pigo za kihuni, kuna jamaa aliwahi kumwita bro Twitter akamzamia DM. alimtukana kisawasawa
Mkuu kwani unafikiri unawajua watoto wote wa Msoga? Wako wengi wale ohoo ni vile tu Wengine siyo 'rasmi'!Huyu ni mpemba tu aliekengeuka na Western culture hana uhusiano wowote na msoga king
Hapana hilo ni jina la kiha, likiwa na maana ya shida sawa, hata usisumbuke kuweka tafsiri ya matusuIla mkuu bhana hili jina la id yako kila nkiisoma najikuta nshaweka "n" katikati ya 'o' na 'gwe' 😂😂😂
Msoga king najua si mdogo ameupiga mwingi tu kitaa enzi zake za ushababi ila huyo mpemba sidhaniMkuu kwani unafikiri unawajua watoto wote wa Msoga? Wako wengi wale ohoo ni vile tu Wengine siyo 'rasmi'!
Tunahitaji katiba mpya tu katunyanyasa sana vijana tusio na hatiaSalama ni mrembo sana. Ukikutana nae uso kwa uso ni mschana mzuri na mrembo ajabu tena mwororooooo
Hiyo vaa yake ni ya makusudi ili aishi maisha anayoishi, yaani ndio inamtenganisha na urembo wake
Tunahitaji katiba mpya tu katunyanyasa sana vijana tusio na hatia
Mtupee bhanaThe only vijana gani wananyanyasika?
Pole sana
Ila mkuu bhana hili jina la id yako kila nkiisoma najikuta nshaweka "n" katikati ya 'o' na 'gwe'
Mtupee bhana
Nmekuelewa mkuu.. ila mimi sjaweka tafsiri ya matusi nmeeleza tu vile ukiliangalia juu kwa juu unaweza soma kama 'agongwe' ambapo kwa tafsiri ya kawaida si matusi..Hapana hilo ni jina la kiha, likiwa na maana ya shida sawa, hata usisumbuke kuweka tafsiri ya matusu
Haha mkuu acha masihara sasa unafikiri kwanini watu tumeuliza kama ni mwanaye au la? Huoni jinsi walivyofanana au ulitaka sura gani tena nyingine ya kukuonesha kuwa wamefanana?Msoga king najua si mdogo ameupiga mwingi tu kitaa enzi zake za ushababi ila huyo mpemba sidhani
Huyu kijana daahMi nilidhani mwanaume wa kiskochi,kwa maana wanaume huvaa visketi kama alichovaa huyu kijana
Dah huyo muhuni kabisa, yaani hakublock ila atakachokujibu utafyata mwenyewe
Ukute ashashtua msuba wake
Huenda aliyekujuza ndiyo huyu pacbigHata mimi najua hii
Uko bize sana na mafaili ya siri ndiyo maana unapitwaBasi nikajua kuna ingizo jipya town ambalo silijui kumbe ni salama J
Sema uso sometime unakuja kama kikwete vile😁😁😁 ajiongeze🤣🤣Infact ni demu mkali sana sema hio mikato yake na hizo attitude za ndumu inafanya aoneka kiunde