Majhura fikiri
Senior Member
- Jul 11, 2015
- 121
- 13
Wakubwa shikamoo age mate mambo vipi? Mimi nilikua natafuta nafasi ya kujiunga na jeshi. Nilibahatika kuipata lakini kuingilia ilikua dar na mimi nyumbani ilikua kigoma ilinilazimu kupanda gari mpaka dar. Nilipofika dar nikamwambia nishafika dar njoo unipokee wala hakuja kunipokea kwakua sikua na pesa ya kulala geust ilinibidi ni lale ubungo siku tatu. Ilipofika siku ya nne ikabidi ni mwambie baba akasema panda gari uende morogoro ukakae kwanza kwa ndugu yako tusikilizie mipango aisee nimekoma!