Kumbe CHADEMA haifahamiki Vijijini

Kumbe CHADEMA haifahamiki Vijijini

Critical analysis inaniongoza kusema kuwa CDM mpaka ilipofikia imejitahidi sana taking into consideration mabavu ya CCM kwa kutumia vyombo vya ulinzi, Usalama, pesa za umma and other public resources kuizima. CCM has been in the monopoly of TZ politics for 50 years with all public resources at their disposal!

mkuu kuna kazi ya ziada kwa chadema kupitia vijijini kuna wananchi hawakifahamu kabisa, wafanye utaratibu wa kutumia vijana kama bavicha kwenda kufanya survey ya kina kukielezea chama chao na sera zao.
 
Vijijini ndiko CCM imejaza wajinga ambacho ndicho chakula chao.CHADEMA inafanya kazi ya kuwaondolea ujinga kwanza wakishajitambua CHADEMA itatamalaki kote huko.
 
Wakuu nawasalimu,

Kwa mawazo yangu nilivyokiona CHADEMA kwa nje nikajua ni chama chenye umaarufu mijini na pia vijinini kumbe sio kweli.

Nimekuwa katika ziara za chama changu CCM katika maeneo ya mikoa mbalimbali na kuja kugundua kwamba
CHADEMA hakifahamiki maeneo ya vijijini kama vile mjini.

Mosi katika mikoa hiyo kama Iringa Vijijini hawajui kuna
CHADEMA,Kilimanjaro Vijiji vya Kolyambua,Kilasanioni na vijiji vingine hawajui CHADEMA zaidi ya TLP na CCM.

Vijiji vingi vya mikoa tuliopita kama Korogwe vijijini,Songea vijijini,Manyara vijijini,Singida vijijini huko ni CCM tu inafahamika hakuna
CHADEMA.

Ombi langu kwa
CHADEMA wajipange kwanza kueneza chama chao vijijini kabla ya kuwaza kushika dola kwani ni ngumu sana kama ngamia kupita tundu la sindano.

Nawasilisha
Kwa akili hizi ndio maana nchi haina maendeleo
 
mbonyi mekuu, hivyo vijiji vya KYOLAMBUA,KILASANIONI WANAIJUA TLP YA AUGUSTINE MREMA TU

Jifunze propaganda,nikufahamishe tu
Mkoa wa simiyu ,una vijiji vya mwanhuzi,Dutwa,lukalangwa,mwakibuga,mahaha,kabila,somanda kote kuna ofisi za chadema na viongozi.
Mkoa wa singida nenda iramba,manyoni ,sherui,misigiri,igugunwa chadema

Mkoa wa morogoro kilosa vijijini,mpwapwa,kilombero,na matombo chadema

Bukoba,nshansha,mleba vijijini,karagwe milimani chadema

Songea mgazini,namtumbo,hanga,chipole,na itui chadema

Mwanza
Kakola,nyanchenche,kizugwangoma,ukerewe,miziro,taro,salama,isolo na nyangwale chadema
Njoo iringa kihesa,tosamaganga,mfindi kule porini ,ilembula,lupembe,ni chadema nimekutaajia baadhi ,na maeneo hayo kuna wenyeviti wa chadema ,nenda mpaka liuli mbinga ukapokelewe na mwanachadema
Kaanzishe thread nyingine mshamba wa siasa, umevaa miwani ya mbao( filikunjombe)
 
jifarijini kwamba CCM wanajidanganya, ndo mnakufa hivyo msipobadilika.

Hamjaanza leo kusema chadema inakufa,mtakufa nyie chedema inabaki ikitawala nchi hii kwa haki na usawa huku kila mwananchi akipata huduma anazostahi kwa wakati na zikiwa kamili,magamba mmebaki kuwa wanyonyaji mkifilisi nchi hii na kuipa madeni kwa faida yenu tu bika kuwajali wananchi,Mungu awalaani!
 
Wachaga ndio wanakwamisha maendeleo ya CHADEMA.
Una wivu nao,wakati wakoloni wanafika hapa tanganyika waliwekeza elimu kule,sasa wameikataa ccm ,
Wanaofuatia sasa ni wasukuma ,wahaya,wamakonde,waruguru,wahehe,wanyiramba na wamasai kule mlikokuwa mnazoa kura za bure mtaisoma(elimu ufunguo wa maisha) subirini
 
Jifunze propaganda,nikufahamishe tu
Mkoa wa simiyu ,una vijiji vya mwanhuzi,Dutwa,lukalangwa,mwakibuga,mahaha,kabila,somanda kote kuna ofisi za chadema na viongozi.
Mkoa wa singida nenda iramba,manyoni ,sherui,misigiri,igugunwa chadema

Mkoa wa morogoro kilosa vijijini,mpwapwa,kilombero,na matombo chadema

Bukoba,nshansha,mleba vijijini,karagwe milimani chadema

Songea mgazini,namtumbo,hanga,chipole,na itui chadema

Mwanza
Kakola,nyanchenche,kizugwangoma,ukerewe,miziro,taro,salama,isolo na nyangwale chadema
Njoo iringa kihesa,tosamaganga,mfindi kule porini ,ilembula,lupembe,ni chadema nimekutaajia baadhi ,na maeneo hayo kuna wenyeviti wa chadema ,nenda mpaka liuli mbinga ukapokelewe na mwanachadema
Kaanzishe thread nyingine mshamba wa siasa, umevaa miwani ya mbao( filikunjombe)

wewe umeandika mikoa ile ile ya kila siku mnayopita nendeni mikoa mipya wewe tahira
 
UKITAKA KULA HELA YA CCM ni rahisi sana ! unachotakiwa KUFANYA NI KUANDIKA UZUSHI WOWOTE KUHUSU CDM HALAFU NAKALA MPELEKEE NAPE , BAASI UMEMALIZA , BAADA YA DK CHACHE UTASIKIA SMS KWENYE SIMU YAKO YA M- PESA !
 
Tatizo la Chadema wameshalewa sifa, hawana habari na vijijini, huwezi kuchukua nchi kwa kufanya mikutano mijini tu, chadema bado hawajajipanga kuchukua dola, labda miaka 15 au 20 kuanzia sasa mbeleni, ruzuku hazitumiki kwa lengo la kukisambaza chama, malipo au posho huishia makao makuu tu, wameiga uleule mfumo wa ccm ingawa wao angalau wanawalipa makatibu wakuu wa wilaya, lakini mabalozi wa nyumba kumi hawana chao! Chadema ilipaswa wafanye mikutano mingi vijijini!
 
wachaga wanaingiaje hapa wewe ngedere. acha tabia ya ubaguzi na laana yake imekukaa
Walianza kuwaita wapemba waarabu,wakamsema salm Ahmed Salm si mtanzania,wakaenda zanzibar wakasema Mh.Castico ni mnyarwanda,hawakuishia hapo,wakamwita jenerali Ulimwengu Mganda,Bashe wa nzega wakamwita msomali hawakuishia hapo
Wakamwita Ismail Jussa ni Mhindi huku hata yule Idrisa AAbdul wakili wakasahau rangi yake!!!
Yeyote anayetofautiana nao ccm si raia ndio maana wageni wengi haramu huachwa waishi nchini ila tu wabandike bendera ya ccm majumbani mwao ccm ni chama cha wabaguzi wa rangi hata ukabila ni waanzilishi hawataacha sera hiyo kamwe,nyerere aliwatambua akaweka Azimio la Arusha liliondolewa kwa kuwa lilisema " binadamu wote ni sawa sitabagua mtu kwa misingi ya rangi,kabila ,lugha au madaraka!!
 
Tatizo la Chadema wameshalewa sifa, hawana habari na vijijini, huwezi kuchukua nchi kwa kufanya mikutano mijini tu, chadema bado hawajajipanga kuchukua dola, labda miaka 15 au 20 kuanzia sasa mbeleni, ruzuku hazitumiki kwa lengo la kukisambaza chama, malipo au posho huishia makao makuu tu, wameiga uleule mfumo wa ccm ingawa wao angalau wanawalipa makatibu wakuu wa wilaya, lakini mabalozi wa nyumba kumi hawana chao! Chadema ilipaswa wafanye mikutano mingi vijijini!

MBONA HATUA HIZO ZIMECHUKULIWA KITAMBO SANA MKUU ? MBONA hauko AWARE , NINI MAANA YA KUANZISHA KANDA AU CDM NI MSINGI ? LAWAMA BILA UTAFITI HUGEUKA KUWA MAJUNGU TU .
 
Back
Top Bottom