mmaranguoriginal.
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,060
- 460
- Thread starter
- #101
Vijiji vya Dodoma, ukitaja chadema ni MSAMIATI mgumu. Wao wanajua chama cha Malecela tu CCM.
huo ndio ukweli mkuu. wajipange upya mambo ya kuchukua dola bado sana
Vijiji vya Dodoma, ukitaja chadema ni MSAMIATI mgumu. Wao wanajua chama cha Malecela tu CCM.
huo ndio ukweli mkuu. wajipange upya mambo ya kuchukua dola bado sana
Si nimekwambia pale Lumumba, kwani hupajui?hizi propaganda kwamba tunapewa elfu saba acheni mimi sijawahi kupewa niambieni wapi wanatoa buku saba niende