Kumbe CHADEMA haifahamiki Vijijini

Kumbe CHADEMA haifahamiki Vijijini

Tatizo la Chadema wameshalewa sifa, hawana habari na vijijini, huwezi kuchukua nchi kwa kufanya mikutano mijini tu, chadema bado hawajajipanga kuchukua dola, labda miaka 15 au 20 kuanzia sasa mbeleni, ruzuku hazitumiki kwa lengo la kukisambaza chama, malipo au posho huishia makao makuu tu, wameiga uleule mfumo wa ccm ingawa wao angalau wanawalipa makatibu wakuu wa wilaya, lakini mabalozi wa nyumba kumi hawana chao! Chadema ilipaswa wafanye mikutano mingi vijijini!

Wewe ndio mwenezi wa Act Tanganyika?, Adui wa watu ni yule anatetea haki za raia bali mtu ya watu ni wale wanaootetea mafisadi ili kupata mradi wao
 
chadema ni chama cha kisasa bwana,hatuwezi kuhangaika na washamba wa vijijini, mjini kunatosha kutupeleka ikulu
 
Nani amekuweka kuwa mchambuzi wa posts zangu?

WAALA ! HATA SINA HAJA YA KUCHAMBUA MADUDU KAMA HAYO bali NINA UHAKIKA KWAMBA WAZAZI WAKO WAKISOMA MADUDU YAKO YA HUMU , HAKIKA WATAJUTIA ADA ZAO !
 
chadema ni chama cha kisasa bwana,hatuwezi kuhangaika na washamba wa vijijini, mjini kunatosha kutupeleka ikulu

hao washamba wa vijijini ndipo kuna asilimia kubwa ya kura na ndio wapiga kura. chadema wanatakiwa kuelewa hili
 
huyo ni bavicha mwenzenu mkuu mbona unamkana tena

Tupe jibu hapa,ni sababu zipi salm Ahmed salmu,jenerali Ulimwengu,Dada Castico,Bashe ,mliwaita di raia wa tanzania wakati castico alikuwa katibu mwenezi zanzibar,jenerali ulimwengu Mkuu wa mkoa,Bashe mjumbe wa Halmashauri kuu Taifa,na Salm Ahned salmu Rais wa znz,waziri Mkuu,Katibu mkuu wa OAU,mjumbe wa secretarieti ya Usalama UN na mjumbe wa CC wa ccm?,
nini kiliwafanya mwape madaraka hayo wakati si raia?
 
Tupe jibu hapa,ni sababu zipi salm Ahmed salmu,jenerali Ulimwengu,Dada Castico,Bashe ,mliwaita di raia wa tanzania wakati castico alikuwa katibu mwenezi zanzibar,jenerali ulimwengu Mkuu wa mkoa,Bashe mjumbe wa Halmashauri kuu Taifa,na Salm Ahned salmu Rais wa znz,waziri Mkuu,Katibu mkuu wa OAU,mjumbe wa secretarieti ya Usalama UN na mjumbe wa CC wa ccm?,
nini kiliwafanya mwape madaraka hayo wakati si raia?

hao wote ushaidi tunao kwamba sio raia wa tanzania walijichomeka ndani ya chama kama mamluki
 
Nani amekuweka kuwa mchambuzi wa posts zangu?

Wanasera za matusi tu hao,unakumbuka Nkamia? Siongei na mbwa bali meenye mbwa,Asha bakari jussa ana juu ya matusi ya bungeni,makonda!
Uvccm bila sera za matusi hakuna siasa,sera za elimu,kilimo,afya na nishati zilipofeli wanebaki Ooh chadema magaidi,chadema wataleta vita,chadema ni udini na ukabila
Tatueni kero hizo, vinginevyo mkataba baina yenu na wananchi wanaweka mtawala mpya2015!
 
hao wote ushaidi tunao kwamba sio raia wa tanzania walijichomeka ndani ya chama kama mamluki

Mbona kama ushahidi mnao ulete hapa jf na pia mbona jana salmu Ahmed Salm mlimteua kuwa mjumbe wa Tume ya mabadiliko ya katiba? bado mnaendeleza na kuonesha kuwa chama hiki ccm si makini ndio maana mko tayari wazungu watuibie raslimali zetu?
 
Mbona kama ushahidi mnao ulete hapa jf na pia mbona jana salmu Ahmed Salm mlimteua kuwa mjumbe wa Tume ya mabadiliko ya katiba? bado mnaendeleza na kuonesha kuwa chama hiki ccm si makini ndio maana mko tayari wazungu watuibie raslimali zetu?

una ushahidi kwamba tumewapa wazungu raslimali zetu kama madini. wakati juzi juzi tumepeleka muswada mpya wa sheria kuhusu gesi na madini. mbona unajitoa ufahamu
 
We we gamba a cha propaganda za kitoto,mtajidanganya wenyewe kwa wenyewe magamba,chadema inazidi kuchanja mbuga.

Acha wajiliwaze, hakuna mtu asieijua CHADEMA Afrika Mashariki na kati . Hawa watani zangu CCM na kijana wao ACT wasipohitaja CHADEMA siku haingii. Kama CHADEMA isingekuwa inafahamika hadi vijijini mzee Kinana asingelia kule Tabora pamoja na kuligida gongo.
 
hao wote ushaidi tunao kwamba sio raia wa tanzania walijichomeka ndani ya chama kama mamluki

we kenge mmarangu kwanza ulivyo pimbi unampenda mwehu lema kwa sababu ni mchagga mwenzio na unamchukia nassary kwa sababu ni mmeru..pili una chuki na waislamu sana.nakushauri hamia chadema kwa wachaga wenzio wenye tabia kama zako..kiazi we
 
Back
Top Bottom