Kumbe CDM hamna Wasomi

Sawa cdm haina wasomi,,,,
sisi ni vilaza maprof,Dr,PhD's wapo ccm wanao pitisha mikataba ya kipumbavu,ufisadi,mauaji....
 
CDM wanatumia tu mgawanyiko wa CCM,kujifanya wako makini...lakini hamna kitu kabisa pale..ubinafsi, uzalendo feki, uroho wa madaraka, kutokua na uzoefu, vihiyo, wapiga domo, umimi, unafiki umewajaa sana hawa CDM. Na kibaya zaidi kuliko CCM, hawana wasomi wazuri na watajaribu jaribu na kuunga unga kazi, kitu ambacho watanzania hatuitaji katika muda huu wa historia ya taifa...

Hawa CDM wamepata umaarufu wa kisiasa bila kutegemea kwa matatizo ya ndani kwa ndani ya CCM, sasa mara hii watu walioshindwa hata kuajiriwa kwa miaka 2 wanataka kuendesha moja ya tawala kubwa na ngumu Afrika (JMT)..Huu siyo muda wa kujaribu jaribu na kuunga unga, watu makini wanataka CDM iendelee kukomaa bungeni ikiwa chama kikubwa cha upinzani huku ikiongeza idadi ya wabunge, (na wale wenye vicertificate kama Mbowe wakasome kwanza)..Tanzania haiwezi kutawalia muda huu na a bunch of yesterdays' amateur political activists now turned accidental political propagandists.

wanahitaji muda zaidi hawa kuwaangalia na kuwapima na kwa hili bado sijaona mbadala wa CCM pamoja na mapungufu yao ya kiutekelezaji huku kukiwa na muamko na ari zaidi ya mabadiliko ya ndani kwa ndani ya chama...labda 2035 (kama CDM itakua haijafa kwa uroho wa madaraka, ubaguzi na ubinafsi uliopindukia)
 
kuna siku niliona aibu pale mzee mzima Mabere marando aliposhindwa kutoa maelezo sahihi kuhusu nini maana ya chama kuitwa leberal democrats..akashindwa hata kutoa maelezo fasaha kuwa chadema ipo mrengo gani wa kisiasa..for a learned brother like him it was really a disaster..amshukuru jusa alimsaidia ila na yeye kwa udhaifu wake,...hapo nikaamini kuwa tanzania tuna viongozi vilaza wengi tu..hata hao ccmana masifa kibao lakini mwambie apange hoja hapa..utakimbia kwa aibu
 
nawashangaa sana cdm ,wanataka kuongoza nchi hii ,ukiangalia pale ndani utaona hamna kitu ,hivi wanafikiria wanataka kuongoza kijiji ? Ndio maana unawasikia wataunda serikali ndogo iliyo na mawaziri wachache sana,nikakumbuka pale walipoweka mgombea mwenza jamaa aliehitimi darasa la saba ,na kwa zanzibar hakuna darasa saba ,inamaana alikimbia shule. Eti watategemea washauri ,unategemea washauri wakati nao wanahitaji elimu ya juu.

Hebu tupangieni hapa safu yenu ,tuiite proposed safu ya uongozi ,ukianza na raisi labda tuseme wizara kumi mpaka kumina tano ,tuone ! Na kuwajadili au kuijadili hio safu !

wasomi wapo msitu wa m-a-b-w-e-p-a-n-d-e
 
Nawashangaa sana CDM ,wanataka kuongoza Nchi hii ,ukiangalia pale ndani utaona hamna kitu ,hivi wanafikiria wanataka kuongoza kijiji ? Ndio maana unawasikia wataunda serikali ndogo iliyo na mawaziri wachache sana,nikakumbuka pale walipoweka mgombea mwenza jamaa aliehitimi darasa la saba ,na kwa Zanzibar hakuna darasa saba ,inamaana alikimbia shule. eti watategemea washauri ,unategemea washauri wakati nao wanahitaji elimu ya juu.

Hebu tupangieni hapa safu yenu ,tuiite proposed safu ya uongozi ,ukianza na Raisi labda tuseme wizara kumi mpaka kumina tano ,tuone ! na kuwajadili au kuijadili hio safu !
SHOCKING!!!!!!!!!:shock::shock:
 
Lissu, Mbowe, Slaa, Mnyika, Sugu, Mrema, Mwita Mwikabe, Wenje, Msigwa, Prof. Baregu, Prof. Kahisi, Dr. Mkumbo, Mimi, Wewe, Yeye, Sisi, Wao, Ndesamburo, Lissu Mdogo, Mabere, Prof. Safari, Prof. Shio, Dr. Shio, Dr. Bana, Furaha Julias, Rodrick, Saria, Lwakatare, Selasini, Halima Mdee, Rose Kamili, Mashumbusi, Silinde, Zitto, Dr. Bana, Waitara, ...............
 
Usomi wa ccm unaipeleka wapi nchi,tupo katika hali mbaya sana,wizi na ufisadi kila kona.Kumbuka pia pamoja na kusoma uongozi ni zawadi na ni kipaji.Nchi yetu sasa inakosa dira,usalama uko hoi,hospitali hali ni mbaya,maisha ni magumu sana na uongozi ni dhaifu sana.
 
hao mafisadi wako mabwepande usomi wao umelisaidiaje taiha letu kwa miaka 50
 
Hivi matumaini yako CDM itaweza kushusha bei ya vyakula ? iwe sukari 1kg sh 500/ ,1kgsembe 250/,1kgwali 600/ ,watu wanaelekea kwenye soko huria .

Hapo ndipo mnapopotezwa na ahadi hewa ,kwani hamuelewi mpo katika mazingira ya aina gani ,nahitajia hio safu ambayo itaweza kumuwekea Mtz maisha nafuu ,watu wanasema maisha ya leo afadhali ya jana. sasa hayo ya kesho ya CDM sijui itakuwaje kama 1kg sukari 6000/ au zaidi.

slaa aliaahidi mfuko wa cement itakuwa 5000 inawezekana kwani kuna saruji toka nje inauzwa elfu 7000

 
SAFU
1.PRESIDENT MBOWE
2.PRIME MINISTER SLAA (aka PADRE)
3.FINANCE MINISTER ZITTO
4.NISHATI NA MADINI MNYIKA
5. HABARI NA MICHEZO MR. II aka SUGU
6.SHERIA NA KATIBA LISSU
7.VIWANDA NA BIASHARA (RAIS) MBOWE
8. MAMBO YA NJE SHIBUDA
9. MAMBO YA NDANI GODBLESS LEMA
10. ULINZI NA JKT SELASINI (MP ROMBO)
11.MALIASILI NA UTALII HHALIMA MDEE
12.UTAWALA BORA MCHUNGAJI TSE (MP KARARU)
13. UHUSIANO MCHUNGAJI MSIGWA (MP. IRINGA)
14.ELIMU KITILYA
15.WIZARA YA AFYA DR. ULIMBOKA
16.MAJI
17. UJENZI ???
18.MAWASILIANO NA UCHUKUZI ??
19 UTAWALA BORA OLE MILYA
 
Nawashangaa sana CDM ,wanataka kuongoza Nchi hii ,ukiangalia pale ndani utaona hamna kitu ,hivi wanafikiria wanataka kuongoza kijiji ? Ndio maana unawasikia wataunda serikali ndogo iliyo na mawaziri wachache sana,nikakumbuka pale walipoweka mgombea mwenza jamaa aliehitimi darasa la saba ,na kwa Zanzibar hakuna darasa saba ,inamaana alikimbia shule. eti watategemea washauri ,unategemea washauri wakati nao wanahitaji elimu ya juu. Hebu tupangieni hapa safu yenu ,tuiite proposed safu ya uongozi ,ukianza na Raisi labda tuseme wizara kumi mpaka kumina tano ,tuone ! na kuwajadili au kuijadili hio safu !
Nenda kawahoji wasomi wa vyuo vikuu, ukianzia na wahadhiri hadi wanafunzi wao kwamba wao ni wanachama wa chama gani, na kwamba 2015 watapigia kura wagombea wa chama kipi, ndio utagundua CDM ina wasomi au haina. Endelea pia kuuliza ni wangapi wameshatuma maombi CDM kugombea nafasi mbalimbali 2015, utazimia! Achana na watawala vilaza kama akina Mkandala wa REDET ambao wanaiunga mkono ccm kinafiki ili waendelee kushikilia nafasi zao.
 
1. bora umekiri kwamba CDM watachukua nchi, 2. subir hyo list utaiona 2015, 3 cjajua kigezo gn cha ww kumtambua ,msomi ni nani, maana kusoma c cheti ni uelewa. 4. Naomba upime kiwango cha elimu cha tanganyika na zanzibar shule zipi zinazoongoza.
 
Nenda kawahoji wasomi wa vyuo vikuu, ukianzia na wahadhiri hadi wanafunzi wao kwamba wao ni wanachama wa chama gani, na kwamba 2015 watapigia kura wagombea wa chama kipi, ndio utagundua CDM ina wasomi au haina. Endelea pia kuuliza ni wangapi wameshatuma maombi CDM kugombea nafasi mbalimbali 2015, utazimia! Achana na watawala vilaza kama akina Mkandala wa REDET ambao wanaiunga mkono ccm kinafiki ili waendelee kushikilia nafasi zao.

Mbowe hawezi kukubali wasomi wengi kwenye NGO yake, atashindwa kuiongoza kiimla....haka kacult kametimia tena hata Lissu, Zitto wanaangaliwa kwa jicho la pembeni.
 
CDM wanatumia tu mgawanyiko wa CCM,kujifanya wako makini...lakini hamna kitu kabisa pale..ubinafsi, uzalendo feki, uroho wa madaraka, kutokua na uzoefu, vihiyo, wapiga domo, umimi, unafiki umewajaa sana hawa CDM. Na kibaya zaidi kuliko CCM, hawana wasomi wazuri na watajaribu jaribu na kuunga unga kazi, kitu ambacho watanzania hatuitaji katika muda huu wa historia ya taifa...

Hawa CDM wamepata umaarufu wa kisiasa bila kutegemea kwa matatizo ya ndani kwa ndani ya CCM, sasa mara hii watu walioshindwa hata kuajiriwa kwa miaka 2 wanataka kuendesha moja ya tawala kubwa na ngumu Afrika (JMT)..Huu siyo muda wa kujaribu jaribu na kuunga unga, watu makini wanataka CDM iendelee kukomaa bungeni ikiwa chama kikubwa cha upinzani huku ikiongeza idadi ya wabunge, (na wale wenye vicertificate kama Mbowe wakasome kwanza)..Tanzania haiwezi kutawalia muda huu na a bunch of yesterdays' amateur political activists now turned accidental political propagandists.

wanahitaji muda zaidi hawa kuwaangalia na kuwapima na kwa hili bado sijaona mbadala wa CCM pamoja na mapungufu yao ya kiutekelezaji huku kukiwa na muamko na ari zaidi ya mabadiliko ya ndani kwa ndani ya chama...labda 2035 (kama CDM itakua haijafa kwa uroho wa madaraka, ubaguzi na ubinafsi uliopindukia)
Mharakati,
Watu makini ndio akina nani, hao unaowasema kuwa wanataka CDM iendelee kukomaa bungeni? Hivi TANU ilipochukua nchi mwaka 1961 walikuwa na uzoefu gani? Mbona Waingereza hawakusema ngoja hawa waendelee kukomaa bungeni?
Umeona manyanyaso ambayo CCM inawapa CDM bungeni? Wewe ungependa hali hiyo iendelee huku raslimali zetu zuikiendelea kutolewa bure kwa wageni na CCM? I think not. CCM isipewe muda zaidi bungeni na vile vile Magogoni.
 
Mbona hamtangazi kama mali zilizoibiwa pamoja na wezi wenyewe mtawafanya nini? au na nyie mnataka kuja kuiba kwa zamu?...mageuzi na mapinduzi haya ya kisiasa kabisa hapa Tanganyika yanabidi yaje na kusafisha mfumo na wanamfumo waliopita (rudisha hela toka nje, taifisha mali zisizo halali hapa ndani, rudisha zile nyumba za serikali, funga hawa wezi) So far Zitto, SLaa, Mbowe et el wamekua kimya, kimya kikionyesha hawana moyo wa mageuzi ya kweli bali wanataka zamu yao ya kula...hata ****** aliingia na kesi zake za watumiaji wabaya wa ofisi za umma (ili kuondokana na upumbavu wa mr Clean)
Mbona hili tulishalizungumzia mara nyingi? Siye Slaa aliyetoka na list of shame na kuufahamisha umma wa Tanzania jinsi
mali zao zinavyotafunwa na wachache? Sasa amekuwaje kimya? Bila Slaa, bila Chadema, Tanzania tungeendelea kutafunwa na ufisadi wa CCM huku kila siku tukijiuliza ni kwa nini nchi ni fukara. Now we know, thanks to CDM. Na kwa taarifa yako, ni hilo hilo bunge la CCM lililopitisha sheria ikifuta haki ya serikali kutaifisha mali. Lazima kwanza tuwe na wabunge wa kutosha kupindua hizi sheria za kulinda ufisadi zilizopitishwa na CCM. Badala ya kulaumu CDM tunakuomba ujiunge nasi tuanzishe ukombozi mpya wa Tanzania yetu.
 
Mharakati,
Watu makini ndio akina nani, hao unaowasema kuwa wanataka CDM iendelee kukomaa bungeni? Hivi TANU ilipochukua nchi mwaka 1961 walikuwa na uzoefu gani? Mbona Waingereza hawakusema ngoja hawa waendelee kukomaa bungeni?
Umeona manyanyaso ambayo CCM inawapa CDM bungeni? Wewe ungependa hali hiyo iendelee huku raslimali zetu zuikiendelea kutolewa bure kwa wageni na CCM? I think not. CCM isipewe muda zaidi bungeni na vile vile Magogoni.


Nyerere ndiyo maana alishindwa (ukiwa na akina kawawa 100 huendi popote)..hatutaki tena kurudi mwaka 61'.

CDM ni opportunists hawajawahi sema sera zao mahsusi za kuongeza pato la taifa zitakuaje, hawajawahi sema kama mafisadi na mfumo wao watauzika vipi (kuwafungulia kesi hawa wezi? kuwanyang'anya mali na hela zilizo ulaya ambazo ni dhahiri wameiba au ?) haya naona ni mageuzi mdomo na siyo ya kweli, watu makini (siyo wale mashabiki wa ukanda, udini, au waliokata tamaa na tanzania na maisha kwa sababu za kutojituma) kama mimi hatuoni hawa kua ni mbadala sana sana ni watu wataokafanya haya haya ya CCM huku ikiwezekana wakitumia nguvu kuliko hata CCM kuunyamazisha upinzani wa wakati huo.

wacha CDM wakomae miaka 10-15 mingine..Taifa letu tukufu haliko kwenye LIFE SUPPORT jamani, na siku ikifika tumefika hapo hamna kiongozi wa kutuonyesha hilo tutachukua nchi yetu wenyewe. Kwa sasa hii desperation sioini.
 
Lissu, Mbowe, Slaa, Mnyika, Sugu, Mrema, Mwita Mwikabe, Wenje, Msigwa, Prof. Baregu, Prof. Kahisi, Dr. Mkumbo, Mimi, Wewe, Yeye, Sisi, Wao, Ndesamburo, Lissu Mdogo, Mabere, Prof. Safari, Prof. Shio, Dr. Shio, Dr. Bana, Furaha Julias, Rodrick, Saria, Lwakatare, Selasini, Halima Mdee, Rose Kamili, Mashumbusi, Silinde, Zitto, Dr. Bana, Waitara, ...............
Dr. Bana yupi?Benson?No way..........
 
Nyerere ndiyo maana alishindwa (ukiwa na akina kawawa 100 huendi popote)..hatutaki tena kurudi mwaka 61'.

CDM ni opportunists hawajawahi sema sera zao mahsusi za kuongeza pato la taifa zitakuaje, hawajawahi sema kama mafisadi na mfumo wao watauzika vipi (kuwafungulia kesi hawa wezi? kuwanyang'anya mali na hela zilizo ulaya ambazo ni dhahiri wameiba au ?) haya naona ni mageuzi mdomo na siyo ya kweli, watu makini (siyo wale mashabiki wa ukanda, udini, au waliokata tamaa na tanzania na maisha kwa sababu za kutojituma) kama mimi hatuoni hawa kua ni mbadala sana sana ni watu wataokafanya haya haya ya CCM huku ikiwezekana wakitumia nguvu kuliko hata CCM kuunyamazisha upinzani wa wakati huo.

wacha CDM wakomae miaka 10-15 mingine..Taifa letu tukufu haliko kwenye LIFE SUPPORT jamani, na siku ikifika tumefika hapo hamna kiongozi wa kutuonyesha hilo tutachukua nchi yetu wenyewe. Kwa sasa hii desperation sioini.

Kwanza kabisa, Nyerere hakushindwa. Lile baraza lake la kwanza la mawaziri huwezi kulilinganisha na baraza la mawaziri hamsini wa sasa wa Kikwete. Changamoto alizokabiliana nazo Nyerere huwezi kuzilinganisha na changamoto zinazokabili uongozi wa leo, kama kweli bado tuna uongozi. Umeshawahukumu CDM kuwa opportunists, huku unafumbia macho opportunism ya uongozi wa CCM ambao umetufikisha hapa tulipo. Ni uwongo mkubwa kusema kuwa CDM haijawahi kuelezea sera za kuongeza pato la taifa. Ama you have not been listening na kama ni kweli CDM hawana sera jiulize iweje leo Watanzania wa kawaida wavutiwe kwenye mikutano yao ya hadhara hata bila kupewa ubwabwa na t-shirts kama chama fulani kinavyofanya kila siku? Ndugu yangu nakuona uko kwenye denial. Miaka 10-15 mingine chini ya CCM madini yetu yatakuwa yamekwisha, tumebaki na makorongo tu na wazungu walishasepa siku nyingi kwao ulaya. Ukiniuliza mimi, hata 2015 ni mbali sana. Ningependa kuona CCM inaondolewa mamlakani mara moja.
 
Nawashangaa sana CDM ,wanataka kuongoza Nchi hii ,ukiangalia pale ndani utaona hamna kitu ,hivi wanafikiria wanataka kuongoza kijiji ? Ndio maana unawasikia wataunda serikali ndogo iliyo na mawaziri wachache sana,nikakumbuka pale walipoweka mgombea mwenza jamaa aliehitimi darasa la saba ,na kwa Zanzibar hakuna darasa saba ,inamaana alikimbia shule. eti watategemea washauri ,unategemea washauri wakati nao wanahitaji elimu ya juu.

Hebu tupangieni hapa safu yenu ,tuiite proposed safu ya uongozi ,ukianza na Raisi labda tuseme wizara kumi mpaka kumina tano ,tuone ! na kuwajadili au kuijadili hio safu !

Kwa taarifa yako wasomi tuko wengi sana tunaounga mkono CHADEMA kuliko CCM.....SUBIRI WAKATI UFIKE
 
Join Date : 23rd October 2007

Posts : 4,215
Rep Power : 1802
Likes Received: 93

Likes Given: 3

Hoja zako hazifanani na umri wako hapa JF...Na haya ndio madhara ya kukimbia shule na yatatugharimu sana watanzania tunapoelekea kwenye shirikisho la EAC.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom