Dr. Bana yupi?Benson?No way..........
Huyo huyo....kadi anayo
Dr. Bana yupi?Benson?No way..........
Nawashangaa sana CDM ,wanataka kuongoza Nchi hii ,ukiangalia pale ndani utaona hamna kitu ,hivi wanafikiria wanataka kuongoza kijiji ? Ndio maana unawasikia wataunda serikali ndogo iliyo na mawaziri wachache sana,nikakumbuka pale walipoweka mgombea mwenza jamaa aliehitimi darasa la saba ,na kwa Zanzibar hakuna darasa saba ,inamaana alikimbia shule. eti watategemea washauri ,unategemea washauri wakati nao wanahitaji elimu ya juu.
Hebu tupangieni hapa safu yenu ,tuiite proposed safu ya uongozi ,ukianza na Raisi labda tuseme wizara kumi mpaka kumina tano ,tuone ! na kuwajadili au kuijadili hio safu !
Kwani wakati si ndio huu ? Au umekusudia wakati gani ndugu ? Watu wanakufa wewe unasema unasubiri wakati ,huu ulionao ni ugoigoi !
1. bora umekiri kwamba CDM watachukua nchi, 2. subir hyo list utaiona 2015, 3 cjajua kigezo gn cha ww kumtambua ,msomi ni nani, maana kusoma c cheti ni uelewa. 4. Naomba upime kiwango cha elimu cha tanganyika na zanzibar shule zipi zinazoongoza.
Samahani sana kama umeona nimekutukana ! Labda ninavyofahamu mimi maana ya goigoi ni tofauti na wewe ,nisamehe !
Kwani wakati si ndio huu ? Au umekusudia wakati gani ndugu ? Watu wanakufa wewe unasema unasubiri wakati ,huu ulionao ni ugoigoi !
Nadhani ungesema Zanzibar hamna wasomi ungeeleweka zaidi. Sasa mbona unahukumu CDM nzima? Hatuwezi kukupangia hapa safu yetu. Ili iweje? Ili CCM ianze kuwaUlimboka?
kutokana na huu mlolongo wa watu kuweka cv za baadhi ya wabunge, imenibidi niangalie baadhi ya cv za wabunge wa chadema kweli ina tia aibu! kweli ndo mna taka kuchukua nchi?
kutokana na huu mlolongo wa watu kuweka cv za baadhi ya wabunge, imenibidi niangalie baadhi ya cv za wabunge wa chadema kweli ina tia aibu! kweli ndo mna taka kuchukua nchi?
duh most ya wabunge wa chadema elimu ni ndo sana
Mkuu una elimu gani?