Kumbe CCM waoga kuliko Museveni?

Kumbe CCM waoga kuliko Museveni?

Nani wa upinzani aliyegombea na hakuruhusiwa kufanya kampeni?
Mliwafuta wote, mwenye nguvu zaidi mlimuweka sero, waliobaki walikuwa vibaraka wenu mliowaweka kwa gharama zenu, mwenye nafuu kidogo alikuwa yule wa Act, mkamyima haki yake kugombea,au mlitaka nani agombee kwenye upinzani? Chauma?
 
Pamoja na mauzauza yote yanayofanywa na Yoweri Museveni kwenye uchaguzi unaoendelea huko Uganda, angalau kuna mambo anayafanya kiungwana.

Nimefuatalia vituo kadhaa vya kupigia na kuhesabu kura, nimependa staili yao ya kuhesabu kura hadharani mbele ya wapiga kura kadhaa.

Mambo ya kuhesabu kura gizani ni ya kizamani Sana yanayopendwa na CCM.
M7 ni mwanaume na anaongoza kiume.
 
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala kidhalimu
 
Mliwafuta wote, mwenye nguvu zaidi mlimuweka sero, waliobaki walikuwa vibaraka wenu mliowaweka kwa gharama zenu, mwenye nafuu kidogo alikuwa yule wa Act, mkamyima haki yake kugombea,au mlitaka nani agombee kwenye upinzani? Chauma?
1. Nani aliyefutwa?

2. Huyo mwingne hata asingehifadhiwa sehemu salama si tayari alikuwa ametangaza kuwa yeye na washirika wake hawatashiriki uchaguzi?

3. Wakati anahifadhiwa tayari alikuwa amepitisha azimio la kutoingia ulingoni!

4. Unajua alihifadhiwa baada ya kutangaza kuharibu uchaguzi ambao yeye kaisha idhinisha kutoshiriki?

TATZO LENU MLITAKA KUBEMBELEZWA, HAYO MAISHA HAYAPO TANZANIA

5. Huwa unapokelewa utakavyokuja.
 
Una mavi kichwani wewe unafikri huo ndio ubongo!
Naona kitengo chenu cha matusi kimefeli sana siku hakifanyi vzr.

Niamby wewe mwenye akili nzuri, nani aliyefutwa?
Huyo maudenda tundu aliyehifadhiwa sehemu salama si tayari yeye na washirika wake walikuwa wamejitoa kwenye hzo mbio?

Unajua maudenda aliwekwa sehemu salama baada ya kuahidi kuvuruga uchaguzi ambao yeye alisema kuwa hatashiriki?
 
Mambo ya kuhesabu kura gizani ni ya kizamani Sana yanayopendwa na CCM.
Aliwahi kusema polepole umesahau au tuilete ile clip hapa alisema kwamba CCM ikifanya uchaguzi wa haki [haiwezi] kuingia Ikulu.. ili iingie ikulu lazima [iibe] !
 
Siku CCM wakiruhusu kuwe na uchaguzi huru na wa haki ndio itakuwa mwanzo wa anguko lake. Ushindi wa CCM 90% ni wizi wa kura na msaada wa vyombo vya dola.
Mnasema ccm walijipgia wenyewe kura wao na vibaraka vyao, nyie msio vibaraka hamkupga kura. Uliwa kujiuliza maswali haya au hadi umuulze mange au TECDEMA?

1. Hao ccm walimwibia nani kwa kupata 90%+ ilhali ni ccm tu walijipgia kura?

2. Nyie ambao sio vibaraka wa ccm mpo wangapi kiasi kwamba ni wengi hadi muwashinde ccm na vibaraka wao?
 
Naona kitengo chenu cha matusi kimefeli sana siku hakifanyi vzr.

Niamby wewe mwenye akili nzuri, nani aliyefutwa?
Huyo maudenda tundu aliyehifadhiwa sehemu salama si tayari yeye na washirika wake walikuwa wamejitoa kwenye hzo mbio?

Unajua maudenda aliwekwa sehemu salama baada ya kuahidi kuvuruga uchaguzi ambao yeye alisema kuwa hatashiriki?
Kwani uchaguzi ulifanyika sasa? No reforms no election kweli kweli! Dar watu wameishia kupiga kura saa 5
 
Back
Top Bottom