- Thread starter
- #21
Insha AllahNa akina Lema na Lissu watarudi
Insha AllahNa akina Lema na Lissu watarudi
Yeah.... yawezekana kali- comit suicide.Inawezekana kalishtukia mchezo
Self destruction. Madikiteta hawapendi kuuawa bora wajiue.Yeah.... yawezekana kali- comit suicide.
Acha ungese kila mtu anampigia simu inamaana hata mama yako anampigia?Nasikia anapigia simu kila mtu kujaribu Lobbying.
Hana raha kabisa.
Ujinga kabisaUkitazama mienendo ya wateule wake na watendaji wengine waliokuwa chini yake hasa ktk nyanja ya kuvunja haki za binadamu yakiwemo matendonya kuteka watu nyara, kupora, kubaka, kubambikia watu kesi kubwakubwa, uhujumu uchumi, wizi wa mali na mateso memgine huku ukiwahoji wanadai ni maagizo kutoka juu.
Asilimia kubwa inaonesha kama ICC wangepokea Mashtaka dhdi yake Hayati Magufuli kwa ukatili uliofanyika wakati wa uchaguzi 2020 na matukio mengine saa hizi angekuwa analia na kusaga meno Mikononi mwa Gereza la kimataifa.
Ushahidi umetimia kwa Sabaya.
Na yeye aende Clouds TvNasikia anapigia simu kila mtu kujaribu Lobbying.
Hana raha kabisa.
Ukitazama mienendo ya wateule wake na watendaji wengine waliokuwa chini yake hasa ktk nyanja ya kuvunja haki za binadamu yakiwemo matendonya kuteka watu nyara, kupora, kubaka, kubambikia watu kesi kubwakubwa, uhujumu uchumi, wizi wa mali na mateso memgine huku ukiwahoji wanadai ni maagizo kutoka juu.
Asilimia kubwa inaonesha kama ICC wangepokea Mashtaka dhdi yake Hayati Magufuli kwa ukatili uliofanyika wakati wa uchaguzi 2020 na matukio mengine saa hizi angekuwa analia na kusaga meno Mikononi mwa Gereza la kimataifa.
Ushahidi umetimia kwa Sabaya.
Tuwasamehe lakini wajitokeze hadharani wakiri kuwa hawatarudia tena.
Nna 90% Kama kwa shetani kupo Yani motoni Basi magufuli atakuwa huko.
Ukiona jambazi anampongeza mtu fulani kwa kazi nzuri ujue kuwa anayepongezwa anafanya vizuri katika ujambazi.Harafu wakawa wanapongezwa eti ndio wazalendo hao Majahili
Mwulize Charles TaylorUjinga kabisa
Waafrika hatuna akili ya kujitegemea
ICC ndio kitu gani ???!!
hovyo kabisa hao jamaaUkiona jambazi anampongeza mtu fulani kwa kazi nzuri ujue kuwa anayepongezwa anafanya vizuri katika ujambazi.
Utawala ule wa marehemu ulikuwa ni wa kijambazi, hivyo wote aliokuwa akiwapongeza ni wale waliokuwa wakifanya vizuri katika ujambazi wao.
Mheshimiwa Mungu na kalamaganda kabugiKuna Prof mmoja amewahi mwita marehemu mungu.wasomi wetu no shida kwelikweli.
Angezikwa na Pinguu juu.mwenzako yuko kwenye kifungo cha mauti wewe unazungumzia angekuwa jela, au unamaanisha angezikwa jela?
Kama alivyowapitisha binadamu wenzie. Yeye naye apate mara 100sio vizuri kumsema marehemu kwa mabaya aliyofanya kwani hujui ni nini anapitia huko aliko... R.I.P JIWE kuu.
🤣🤣🤣Hawasameheki duniani na mbinguni bali ipo siku yao