Kumbe Aliponea Chupuchupu: Kama Kesi ingepokelewa ICC saa hizi Magufuli angekuwa jela

Ukitazama mienendo ya wateule wake na watendaji wengine waliokuwa chini yake hasa ktk nyanja ya kuvunja haki za binadamu yakiwemo matendonya kuteka watu nyara, kupora, kubaka, kubambikia watu kesi kubwakubwa, uhujumu uchumi, wizi wa mali na mateso memgine huku ukiwahoji wanadai ni maagizo kutoka juu.

Asilimia kubwa inaonesha kama ICC wangepokea Mashtaka dhdi yake Hayati Magufuli kwa ukatili uliofanyika wakati wa uchaguzi 2020 na matukio mengine saa hizi angekuwa analia na kusaga meno Mikononi mwa Gereza la kimataifa.

Ushahidi umetimia kwa Sabaya.
Ujinga kabisa

Waafrika hatuna akili ya kujitegemea

ICC ndio kitu gani ???!!
 
Magufuli ni Kiranja Mkuu wa malaika, yaani yeye alikuwa mtakatifu na mkamilifu kuliko binadamu wote.
Ndio Mana Mungu alimpenda zaidi na kumtwaa mapema.
Ukitazama mienendo ya wateule wake na watendaji wengine waliokuwa chini yake hasa ktk nyanja ya kuvunja haki za binadamu yakiwemo matendonya kuteka watu nyara, kupora, kubaka, kubambikia watu kesi kubwakubwa, uhujumu uchumi, wizi wa mali na mateso memgine huku ukiwahoji wanadai ni maagizo kutoka juu.

Asilimia kubwa inaonesha kama ICC wangepokea Mashtaka dhdi yake Hayati Magufuli kwa ukatili uliofanyika wakati wa uchaguzi 2020 na matukio mengine saa hizi angekuwa analia na kusaga meno Mikononi mwa Gereza la kimataifa.

Ushahidi umetimia kwa Sabaya.
 
sio vizuri kumsema marehemu kwa mabaya aliyofanya kwani hujui ni nini anapitia huko aliko... R.I.P JIWE kuu.
 
Harafu wakawa wanapongezwa eti ndio wazalendo hao Majahili
Ukiona jambazi anampongeza mtu fulani kwa kazi nzuri ujue kuwa anayepongezwa anafanya vizuri katika ujambazi.

Utawala ule wa marehemu ulikuwa ni wa kijambazi, hivyo wote aliokuwa akiwapongeza ni wale waliokuwa wakifanya vizuri katika ujambazi wao.
 
Ukiona jambazi anampongeza mtu fulani kwa kazi nzuri ujue kuwa anayepongezwa anafanya vizuri katika ujambazi.

Utawala ule wa marehemu ulikuwa ni wa kijambazi, hivyo wote aliokuwa akiwapongeza ni wale waliokuwa wakifanya vizuri katika ujambazi wao.
hovyo kabisa hao jamaa
 
Back
Top Bottom