Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Ulaghwaayeeichingereza chibhitotanzila
Ulaghwaayeeichingereza chibhitotanzila
Hukumu ya Mungu tayari hiyo imeishaaaaMahakama ya MUNGU ni mbinguni. Kwani unavojua wewe JPM asingefanya hayo unayoamin alikosea alipangiwa kuishi miaka mingapi?
Hapa duniani hakuna mwenye mamlaka au uwezo wa kujua kwa nini MUNGU ametaka fulani afe. Acheni kutumia Dini vby.
Unaweza kusema kwa nini Yesu alikufa akiwa na miaka 33 au. Muhamad kuishi 63 yrs.
Hebu tuambie kwenye familia yako waliokufa Watoto Wachanga, Vijana, Watu Wazima na Wazee kabla ya kuitwa Vikongwe walikosea nn wakahukumiwa na MUNGU kufa?
CHUKI ZA KISIASA ZIMETUFANYA TUWE WAJINGA SANA
Hutaki kajinyongeKama hujui dini kaa kimya. Hata huyo shetan ambaye unaamini mungu anamchukia, mbona bado angali hai.
na atakuwepo mpaka
kiama?
Kama una uelewa jenga hoja zenye nguvu na sio kutumia nguvu kujenga hoja
🤣🤣🤣Ulaghwaayee
Watu wanataka kuquestion mambo ya Mungu.Hukumu ya Mungu tayari hiyo imeishaaaa
Ni wajinga na kutaka kumjaribu Mungu.Watu wanataka kuquestion mambo ya Mungu.
Hahaaa.... Kama vipi wakakate rufaaNi wajinga na kutaka kumjaribu Mungu.
Wanatafuta njia mbadalaHahaaa.... Kama vipi wakakate rufaa