- Thread starter
- #41
Ili asije akaharibiwa na maibilisi wa dunianiMagufuli ni Kiranja Mkuu wa malaika, yaani yeye alikuwa mtakatifu na mkamilifu kuliko binadamu wote.
Ndio Mana Mungu alimpenda zaidi na kumtwaa mapema.
Ili asije akaharibiwa na maibilisi wa dunianiMagufuli ni Kiranja Mkuu wa malaika, yaani yeye alikuwa mtakatifu na mkamilifu kuliko binadamu wote.
Ndio Mana Mungu alimpenda zaidi na kumtwaa mapema.
Inaweza kuwa kweliNna 90% Kama kwa shetani kupo Yani motoni Basi magufuli atakuwa huko.
Usiku halali. Hana uhakika kama atamkia mtaani au MahabusuAcha ungese kila mtu anampigia simu inamaana hata mama yako anampigia?
Acha kutuletea habari za kusikia
Hahahahaha we jamaa msengeAu kale kazee kaliishtuka kakaona isiwe tabu kakameza sumu? Kale kajamaa kalikuwa kajanja kama sungura
Aibu kwakweli, dah.Kuna Prof mmoja amewahi mwita marehemu mungu.wasomi wetu no shida kwelikweli.
Wakumshati Jiwe angetokea wap?Ukitazama mienendo ya wateule wake na watendaji wengine waliokuwa chini yake hasa ktk nyanja ya kuvunja haki za binadamu yakiwemo matendonya kuteka watu nyara, kupora, kubaka, kubambikia watu kesi kubwakubwa, uhujumu uchumi, wizi wa mali na mateso memgine huku ukiwahoji wanadai ni maagizo kutoka juu.
Asilimia kubwa inaonesha kama ICC wangepokea Mashtaka dhdi yake Hayati Magufuli kwa ukatili uliofanyika wakati wa uchaguzi 2020 na matukio mengine saa hizi angekuwa analia na kusaga meno Mikononi mwa Gereza la kimataifa.
Ushahidi umetimia kwa Sabaya.
....Mungu yuko kazini.... ni maneno ya Sabaya akipanda karandinga kwenda celoUuuuwiiii wanyooshweeee
Wapigweee wapigweee
Watu wamelia sanaaa watu wameteswa Sana
Watu wamepigwa misumari kichwan miguuni
Watu wamekatwa masikio
Watu wametupwa baharin
Uuuuwiiii uuuuwiiii
Mateso mateso mateso mateso
Mungu Mungu Mungu tushukuru kwa kusikia kilio chetu
Asante baba
Hivi hili neno 'shenz type' huwa lipo? Maana toka enzi linatumika tokea miaka ya 70 nilikuwa namsikia bibi analitumia ahahahahahhahaha au 'shwaini'Yani hayo majangili yalikuwa yanabambikia watu kesi ambazo kimsingi wao ndio walikuwa wanazifanya. Shenz type.
Mungu ndio mtetezi wa wote wanaoteswa. Atatujibia tu, huwa hawahi wala hachelewi.Tuwasamehe au tumwachie Mungu aendelee kumwongoza mama?
Basi acha kazi iendelee...Mungu ndio mtetezi wa wote wanaoteswa. Atatujibia tu, huwa hawahi wala hachelewi.
Sure babu.Basi acha kazi iendelee...
Sasa hapo umenisifia au umenitukana?Hahahahaha we jamaa msenge
sana
Hahaha, Clouds gundu kwa sasa, hawakanyagi!! Naona hata ule ushamba wa kupiga simu kwenye vipindi vya channel pendwa (endorsement ya bure) hamna kwa sasaNa yeye aende Clouds Tv
Huu ni ushuzi umeandika.......Ukitazama mienendo ya wateule wake na watendaji wengine waliokuwa chini yake hasa ktk nyanja ya kuvunja haki za binadamu yakiwemo matendonya kuteka watu nyara, kupora, kubaka, kubambikia watu kesi kubwakubwa, uhujumu uchumi, wizi wa mali na mateso memgine huku ukiwahoji wanadai ni maagizo kutoka juu.
Asilimia kubwa inaonesha kama ICC wangepokea Mashtaka dhdi yake Hayati Magufuli kwa ukatili uliofanyika wakati wa uchaguzi 2020 na matukio mengine saa hizi angekuwa analia na kusaga meno Mikononi mwa Gereza la kimataifa.
Ushahidi umetimia kwa Sabaya.
Nina hakika hata Kama asinge fariki, na miaka ikapita bado siku moja angetokea mtawala anaye chukia maovu , Ange mburuta korokroni tu. Huyu mzee akishirikiana na genge lake la uhalifu wali watendea watu wengi ukatili usio vumilika kabisa.He was an engineer of almost all evils
Unapiga salute na kisuti chako nanga mkubwa weeee eti unajifanya kamanda wehu mtupuuuBashite Malyamungu mtesaji na muuaji mkuu. Dogo alikuwa anawajambisha kuanzia wabunge, mawaziri, PM, VP, DGTISS, IGP na utopolo wote.
View attachment 1979179
Ukitazama mienendo ya wateule wake na watendaji wengine waliokuwa chini yake hasa ktk nyanja ya kuvunja haki za binadamu yakiwemo matendonya kuteka watu nyara, kupora, kubaka, kubambikia watu kesi kubwakubwa, uhujumu uchumi, wizi wa mali na mateso memgine huku ukiwahoji wanadai ni maagizo kutoka juu.
Asilimia kubwa inaonesha kama ICC wangepokea Mashtaka dhdi yake Hayati Magufuli kwa ukatili uliofanyika wakati wa uchaguzi 2020 na matukio mengine saa hizi angekuwa analia na kusaga meno Mikononi mwa Gereza la kimataifa.
Ushahidi umetimia kwa Sabaya.
Mwenye dhamani sio MakamuUnaota. Sasa makamu Wake si yupo. Mpeleke.