PostGE2025 Kumbe alifeli form 4, Kiswahili tu ndio alipata D

PostGE2025 Kumbe alifeli form 4, Kiswahili tu ndio alipata D

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Aiseee hii ni aibu sasa naelewa kwanini Kisiwani hapajawahi kuwa hata kwenye elfu 1 bora ya matokeo ya Necta ama Nacte[emoji23]

Baada ya kupost leo kwenye page zake anafungia comments na kublock watu, pia anafuta comments mbaya

Mtu aliyeshinda kwa asilimia 98 lakini akaenda kuapishiwa kambi ya jeshi

Mtu pekee anayeitwa Dr aliyepata D moja form 4 ya somo la kiswahili na masomo mengine akafeli kwa kupata F na viastashahada vya kuungaunga vya huko Pakistan na Dubei

Kweli tuna bahati mbaya sana, kwamba tunafanya vizuri kuliko chumi za Marekani na Ulaya

Nacheka ila tuna hasara kubwa sana.
CCM ndiyo wa kulaumiwa kwa hili janga.
 
Aiseee hii ni aibu sasa naelewa kwanini Kisiwani hapajawahi kuwa hata kwenye elfu 1 bora ya matokeo ya Necta ama Nacte[emoji23]

Baada ya kupost leo kwenye page zake anafungia comments na kublock watu, pia anafuta comments mbaya

Mtu aliyeshinda kwa asilimia 98 lakini akaenda kuapishiwa kambi ya jeshi

Mtu pekee anayeitwa Dr aliyepata D moja form 4 ya somo la kiswahili na masomo mengine akafeli kwa kupata F na viastashahada vya kuungaunga vya huko Pakistan na Dubei

Kweli tuna bahati mbaya sana, kwamba tunafanya vizuri kuliko chumi za Marekani na Ulaya

Nacheka ila tuna hasara kubwa sana.
Kwahiyo Rais Samuya naye ana block watu huko Mtandaoni? Inachekesha na kusikitisha pia. 😂😂😂😂
 
Mwenzako Rais wewe ukiwa huna uhakika wa mlo wa siku 10 mfululizo, unaishia Kwenye Chumba kimoja jiko, sebulo, na kitanda kipo hapo hapo na Chumba kimejaa madumu ya maji na hukunikifika asubuhi umeshawema ndoo ya maji Chini ya mlango wa Choo ukipanga foleni
Sasa niambie Division 1 yako. Ya A Saba. Imekusaidia nini? Wakayi mwenzako hata akimaliza muda wake basi Hana shida. .Au ndiyo unasubiri kuja kumpindua Dec 9 Amiri jeshi mkuu akuwa Malaya wenu wa USA na akisaidiwa na Yule wa Nairobi?
Pathetic life!
Umeandika mipasho.
Ni wazi kabisa mada iko nje ya uelewa wako..
Busara: Soma tu na kupita kimya.
 
Kweli tuna bahati mbaya sana
Hoja dhaifu sana, eti ukipata A plus kwa elimu yetu hii ya kukariri unaonekana una akili! Yaani utafikiri huko vyuoni kama hujapita utaona kuna la maana kumbe hamna kitu!

Nakuuliza swali: Unawajua mawaziri waliofanya vizuri darasani, walifanya kipi cha maana huko wizarani??

Ukitoa sifa za kujivuna (ulimbukeni na ushamba), wanaojiita wasomi ,wengi wao hawawezi kutoa kitu kikubwa kikaonekana coz mfumo wetu wa elimu umepitwa na wakati.

Huu mfumo wa soma-faulu-uajiriwe umepitwa na wakati! Umemaliza chuo unatembeza bahasha miaka kumi eti ukisubiri ajira! Kumbe ni suala la kubadilisha mtazamo!

Yaani unaaminishwa ukifaulu vizuri darasani eti ni lazima uwe na maisha mazuri! Aliyefeli akiwa na maisha mazuri nongwa!

Narudia tena kwa elimu yetu hii ya bongo, hakuna uhusiano wa kufeli darasani na kutokuwa na akili!

Lengo mama la elimu ni kumsaidia na kumrahisishia mwanadamu kupambana na changamoto mbalimbali zinazomzunguka katika mazingira yake.

Mwenzako kwa elimu yake ndogo amekuwa Rais! Amepambana mpaka amefikia lengo lake! Wewe na A zako Plus?? Malalamiko kibao!

Elon Musk says college is 'basically for fun and not for learning'​


The Tesla billionaire Elon Musk thinks people “don’t need college to learn stuff” and says jobs at his companies should not require a degree.

Kamala Harris says she will cut degree requirements for certain federal jobs​


 
Huo urais upo wapi. Huoni tayari ni 'candidate' wa kunyea debe miaka yake yote ya maisha iliyobakia?

Sasa kama ni hiyo sifa yake ya kuwa na elimu mbovu imechangia kumfikisha hapa alipofikia, kuna kipi tena cha kujivunia maishani mwake kote?
Hilo nakuahidi Samia is here to stay mpaka 2030. Wewe endelea kujitoa fahamu. Pambana na dhiki zako.. walaumu Baba zako Kwa Sababu wewe ni masikini na unalala Kwenye nyumba ya kupanga tandale!
 
Umeandika mipasho.
Ni wazi kabisa mada iko nje ya uelewa wako..
Busara: Soma tu na kupita kimya.
Nahisi kama wewe. Nina uhakika elimu niliyokuwa nayo hawezi kuifikia. Pambana na Hali yako
 
Mwenzako Rais wewe ukiwa huna uhakika wa mlo wa siku 10 mfululizo, unaishia Kwenye Chumba kimoja jiko, sebulo, na kitanda kipo hapo hapo na Chumba kimejaa madumu ya maji na hukunikifika asubuhi umeshawema ndoo ya maji Chini ya mlango wa Choo ukipanga foleni
Sasa niambie Division 1 yako. Ya A Saba. Imekusaidia nini? Wakayi mwenzako hata akimaliza muda wake basi Hana shida. .Au ndiyo unasubiri kuja kumpindua Dec 9 Amiri jeshi mkuu akuwa Malaya wenu wa USA na akisaidiwa na Yule wa Nairobi?
Pathetic life!
We una maisha yapi sasa[emoji23]
Zaidi ya kuvaa manguo ya kijani tu na kuwa kama misukule ya uvccm mna jipya[emoji23]
 
Maandishi mengi ila umeandika pumba tupu..kua na pesa au kua raisi akufuti umbumbumbu wa mtu , huyo mama ni tahira kama ulivyo wewe masikini wa akili..nguruwe hata umvalishe kanzu na umpakize kwenye v8 bado atabaki kuwa nguruwe tu...Vivyo hivyo mtu mbumbumbu na mjinga hata amiliki Dunia na vyote vilivyomo umbumbumbu wake utadhihirika tu , kama ilivyo kwako na huyo mama yako tahira
Taarifa ni wewe naona. Umesharudi kanisani Kwanza!
 
Mwenzako Rais wewe ukiwa huna uhakika wa mlo wa siku 10 mfululizo, unaishia Kwenye Chumba kimoja jiko, sebulo, na kitanda kipo hapo hapo na Chumba kimejaa madumu ya maji na hukunikifika asubuhi umeshawema ndoo ya maji Chini ya mlango wa Choo ukipanga foleni
Sasa niambie Division 1 yako. Ya A Saba. Imekusaidia nini? Wakayi mwenzako hata akimaliza muda wake basi Hana shida. .Au ndiyo unasubiri kuja kumpindua Dec 9 Amiri jeshi mkuu akuwa Malaya wenu wa USA na akisaidiwa na Yule wa Nairobi?
Pathetic life!
SALAMA LEKO!
 
Huwa nikifikiria naishia kumlaumu sana Mwenda zake (Mungu Anisamehe kwa hili) nahisi kama yeye ndio root causer wa haya yote kwa kutuletea hili Janga ambalo hata mtoto mdogo tu angeweza ku notice na kulikataa mapema, Dah....

Kwa kweli tuna safari ndefu sana nchi yangu Tanzania 😢😢.
 
Na unaamini kabisa kwa dhati ya moyo wako, kwamba matokeo hayo ni ya "kupangwa", na unataka nasi tujue na tuelewe kuwa ni "matokeo ya kupangwa" kwa vile ni wewe umesema hivyo!
Wewe unaonaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom