field marshall1
JF-Expert Member
- Sep 17, 2017
- 1,976
- 4,560
Duuh D" moja na mwanawe sasa ni naibu waziri wa Elimu (wanaita ILIM" kule kwenye Madrasa)? Kapasi Kiswahili, mbona hata Kiswahili naona kama anakibofoa, Nywinywii na Nywinywi. Hilo halipo kwenye kamusi ya Kiswahili.Aiseee hii ni aibu sasa naelewa kwanini Kisiwani hapajawahi kuwa hata kwenye elfu 1 bora ya matokeo ya Necta ama Nacte[emoji23]
Baada ya kupost leo kwenye page zake anafungia comments na kublock watu, pia anafuta comments mbaya
Mtu aliyeshinda kwa asilimia 98 lakini akaenda kuapishiwa kambi ya jeshi
Mtu pekee anayeitwa Dr aliyepata D moja form 4 ya somo la kiswahili na masomo mengine akafeli kwa kupata F na viastashahada vya kuungaunga vya huko Pakistan na Dubei
Kweli tuna bahati mbaya sana, kwamba tunafanya vizuri kuliko chumi za Marekani na Ulaya
Nacheka ila tuna hasara kubwa sana.
Unaenda kusoma Dubai? kusoma nini huko? Pakistan, alienda kusomea kujifunga mabomu huyu bi Chupaki.
Eti Doctor, Huyu anayeleta waganga wa kienyeji bungeni.....need to be ashamed of herself, amepewa cheo kikubwa sana, angepaswa awe balozi wa nyumba kumi-kumi.