Kuliwa wadada maofisini kamwe hakutoisha

Kuliwa wadada maofisini kamwe hakutoisha


Umetusaidia sana

Karibuni nyama wakuu,tumefika salama mapema tuu now twapata msos hapa,nyama ya mbusi swafi mi najilipua na Kvant hawa mashost m1 anakunywa wengne hawanywi,ila nahakikisha wanakunywa hata wine ili naniliu zishuke chin,

Hakuna namna sasa...napiga vant kuongeza confidence,..maana nmedhamiria kumla m1 iwe isiwe,ila huyu si mke wa mtu..yule mke wa mtu nmemwogopa maana amejirahisisha sana had nahis kaungua nin

Kwa huu uandishi tu sijui hata huko ofisini unafanya nini
 
Umewaamini? [emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
We jamaa ni malaya sana wanawake wa jf wanasema unawatembezea bakora kimya kimya
 
Kwaiyo unataka kusema wanawake wote wasio na kazi offisini au wanafanya biashara nyumbani ndo waaminifu kwenye ndoa zao?
 
Mm mke wangu nitamchukua NYWELE af ntamwambia KUWA MAKINI SANA, SIKU UKIFANYA UPUUZI NIKAGUNDUA UTAOKOTA MAKOPO!!

na HAKIKA AKIJICHANGANYA ATAOKOTA MAKOPO, simpogi wala kumdhuru nikafie SEGEREA ILA ATAPATA TABU SANA
Du! Better uwe umemfanyia kweli lakin Kama unamtieha tu alafu ikajakutokea kaliwa na asione effect ya ulichomwambia Basi utasababisha disaster maan atajiachia Sana akijua ulimdanganya afu naww utarelax ukijua hafanyi coz ushatishia! Apo ndo utajua nn maan ya muosha huoshwa[emoji23]
 
Mkuu sio wadada tu!

Mbona hatuwataji Waume za watu?

Ili sex iwepo Ke na me wanahusika

Tukitoa lawama kwa wadada basi wakaka wanapaswa kulaumiwa vilevile 100%

Hivo tu mkuu wangu
Lazima tuwajaji Dada zetu kwasababu ndiyo watakuja kuwa walez wa family majumbani na mama ni mlezi bora wa familia na kwenye familia mama akiwa dhaifu kwenye malez ya mtoto vizaz vijavyo vita teketea kwa maadiri mabovu, na kama baba nyumbani ukiona watoto wana kuogopa alafu awamuogopi mama yao, ujue hapo mke wako kashindwa malez ya watoto.
 
Wanawake hao wanapatikana wap,ujue mfano mim ratiba yangu na places zangu kupata mwanamke wa hvo ni ngum,labda nifanyiwe connection...wanawake wanaonizunguka mim ni wehu wengi
U marry in ur circle usijisumbue
 
h
Kiukwel ni ngum sana kwa wadada /wake za watu/interns kuendelea kuto kuliwa jameni hum maofisin.

Sijaoa ila nikioa mke wangu namfungulia biashara hapo hapo nyumban ama hafany kaz kabisaaaa.

Tabia hii niliacha sabab ya kuamua tuu kuacha,ila kwa jins wadada hawa wanavyojirahisisha sio kwangu tuu hata washkaj,ni hatar kwa ndoa nyingI

Huwez amin tunasafir kikaz hapa tuko wa4 dereva wa5 ,wa3 wadada ,namim peke yangu ila kwa jins stor zao na kucheka hovyo hawa wadada yaan nahis naweza piga wote wa3 kwa mpigo,af fresh tuu

Infact sijui yan,..m1 anasema et nimlinde ,na ni mke wa mtu analipete likubwa hilo mkonon,daah,..

Et napoleone kama kidum kimejaa sema tuu
Aibu naona mim
haya hongera kwa kuwa na kaz ,
 
Nlienda ziarani mkoa mmoja magharibi nliwatindua wenyeji kinoma, wafanyakazi kisa nimetoka HQ na nina mafaili yao, wanarukaruka kama maharagwe, full kujirahisi
 
Sio maofisini tuu kila mahali watu wanakulwa!!

La mno hapa ni kusisitiza watu kujiheshimu na kuwa waaminifu!!
 
Utoto raha saaana

Aseeee asiejua hivi viumbe amaweza kuja na mipango kibao ya kuvilinda,

Nakumbusha tu mwanamke ni jeshi la kumlinda mwanaume, sijawahi sikia mwanaume kapewa jukumu la kumlinda mwanamke
 
Kiukwel ni ngum sana kwa wadada /wake za watu/interns kuendelea kuto kuliwa jameni hum maofisin.

Sijaoa ila nikioa mke wangu namfungulia biashara hapo hapo nyumban ama hafany kaz kabisaaaa.

Tabia hii niliacha sabab ya kuamua tuu kuacha,ila kwa jins wadada hawa wanavyojirahisisha sio kwangu tuu hata washkaj,ni hatar kwa ndoa nyingI

Huwez amin tunasafir kikaz hapa tuko wa4 dereva wa5 ,wa3 wadada ,namim peke yangu ila kwa jins stor zao na kucheka hovyo hawa wadada yaan nahis naweza piga wote wa3 kwa mpigo,af fresh tuu

Infact sijui yan,..m1 anasema et nimlinde ,na ni mke wa mtu analipete likubwa hilo mkonon,daah,..

Et napoleone kama kidum kimejaa sema tuu
Aibu naona mim
Mmh saa ingine ni matani tu ya ofisini mkuu. Kuna wanaotaniana hadi kuitana husband au wife. Wanaokulana kweli hawataniani hadharani, na kama ni watu wanajitambua ni ngumu sana kuwagundua. Mmoja anasepa kwenda lunch, akifika huko anamshtua mwenziye wanakutana mbele kwa mbele na hakuna lunch inaliwa wala nini wanakulana chap wanarudi kila mtu kivyake.
 
Back
Top Bottom