Kuliwa wadada maofisini kamwe hakutoisha

Kuliwa wadada maofisini kamwe hakutoisha

Napoleone

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2012
Posts
10,085
Reaction score
16,063
Kiukwel ni ngum sana kwa wadada /wake za watu/interns kuendelea kuto kuliwa jameni hum maofisin.

Sijaoa ila nikioa mke wangu namfungulia biashara hapo hapo nyumban ama hafany kaz kabisaaaa.

Tabia hii niliacha sabab ya kuamua tuu kuacha,ila kwa jins wadada hawa wanavyojirahisisha sio kwangu tuu hata washkaj,ni hatar kwa ndoa nyingI

Huwez amin tunasafir kikaz hapa tuko wa4 dereva wa5 ,wa3 wadada ,namim peke yangu ila kwa jins stor zao na kucheka hovyo hawa wadada yaan nahis naweza piga wote wa3 kwa mpigo,af fresh tuu

Infact sijui yan,..m1 anasema et nimlinde ,na ni mke wa mtu analipete likubwa hilo mkonon,daah,..

Et napoleone kama kidum kimejaa sema tuu
Aibu naona mim
 
Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Hakikisha unakuja toa report kwa mabaharia na chama chao huku
 
Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Hakikisha unakuja toa report kwa mabaharia na chama chao huku
Hiki kikombe naomba kinipitie mbal kabisa mkuu
 
Sijaoa ila nikioa mke wangu namfungulia biashara hapo hapo nyumban ama hafany kaz kabisaaaa.[emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]afadhali hao wanaoliwa maofisini wako anaweza kuliwa ndani ya nyumba yako na pengine kitanda unacholalia... Wahuni sio watu
Mkuu skuhiz tunafunga cctv na spy bugs kila kona mkuu mshana
 
Hakuna dawa ya kudhibiti upuuzi huu

1. Behaviour never easy controlled even if you install 7 pad locks

2. You're part of it soon or later it come around

3. This case merely individuals control and can never be generous case
 
Sawa ila kiufupi atapata tabu sana,labda nimchoke tuu
Cha kukushauri ni kuwa oa mke mwenye hofu ya Mungu + atambue nini maana ya ndoa. Mengine wala hutopata tabu, kabla ya kukusaliti kwanza atawaza uhusiano wake pamoja na Mungu na nini atapata akikusaliti. Kama kuna mapungufu dawa si kucheat ni kulisolve.
Wanasema tatizo halitatuliwi kwa kulikimbia. Kufanya usaliti ni kulikwepa tatizo.
 
Cha kukushauri ni kuwa oa mke mwenye hofu ya Mungu + atambue nini maana ya ndoa. Mengine wala hutopata tabu, kabla ya kukusaliti kwanza atawaza uhusiano wake pamoja na Mungu.
Wanawake hao wanapatikana wap,ujue mfano mim ratiba yangu na places zangu kupata mwanamke wa hvo ni ngum,labda nifanyiwe connection...wanawake wanaonizunguka mim ni wehu wengi
 
Back
Top Bottom