upcoming tycoon
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 353
- 476
Akili tu sio wote unaweza kuwala wengne wana misimamo yao na wanajitambua
Ndo hvo mkuu,..hakuna la kufanya hapa,yaan nadhan haiwezekan,
Huwezi kuwapata kama wewe haupo kama waoWanawake hao wanapatikana wap,ujue mfano mim ratiba yangu na places zangu kupata mwanamke wa hvo ni ngum,labda nifanyiwe connection...wanawake wanaonizunguka mim ni wehu wengi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Hakikisha unakuja toa report kwa mabaharia na chama chao huku![]()
Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Katika harakati za ujana unaweza jikuta unatunukiwa tunda na binti kama utani vilee. Hii hutokea pale binti anapokuwa na hasira, jamaa yake amecheat so anataka kulipiza kisasi na kipindi manzi ana maumivu ya kuachwa! Hizi ndo moment kubwa ambazo gilrs wengi wanaliwa bila kutarajia wala kupanga...www.jamiiforums.com
Unafunga ccttv wapi wewe zombie ?, unajisifia ujinga huo, !, jiheshimu basi.Mkuu skuhiz tunafunga cctv na spy bugs kila kona mkuu mshana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sijaoa ila nikioa mke wangu namfungulia biashara hapo hapo nyumban ama hafany kaz kabisaaaa.[emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]afadhali hao wanaoliwa maofisini wako anaweza kuliwa ndani ya nyumba yako na pengine kitanda unacholalia... Wahuni sio watu Napoleone,
Wamalekani wapo na wacanada wanaleta dawa tu [emoji23][emoji23][emoji23]Nasikia taarifa za Upungufu wa chakula,mvua,nguvu za kiume n.k ila sijawahi kusikia Upungufu wa ARV!! Tulisakateni tu dawa zipo..
hahahhahaha jamaa unamtisha....mwache aoe kwanza....Sijaoa ila nikioa mke wangu namfungulia biashara hapo hapo nyumban ama hafany kaz kabisaaaa.[emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]afadhali hao wanaoliwa maofisini wako anaweza kuliwa ndani ya nyumba yako na pengine kitanda unacholalia... Wahuni sio watu Napoleone,
Mkuu skuhiz tunafunga cctv na spy bugs kila kona mkuu mshana
Mm mke wangu nitamchukua NYWELE af ntamwambia KUWA MAKINI SANA, SIKU UKIFANYA UPUUZI NIKAGUNDUA UTAOKOTA MAKOPO!!
na HAKIKA AKIJICHANGANYA ATAOKOTA MAKOPO, simpogi wala kumdhuru nikafie SEGEREA ILA ATAPATA TABU SANA
Mkuu skuhiz tunafunga cctv na spy bugs kila kona mkuu mshana