Sijaoa ila nikioa mke wangu namfungulia biashara hapo hapo nyumban ama hafany kaz kabisaaaa.[emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]afadhali hao wanaoliwa maofisini wako anaweza kuliwa ndani ya nyumba yako na pengine kitanda unacholalia... Wahuni sio watu Napoleone,
Hii huwa ngumu sana ila uwezekano mkubwa upo huko maofisini,mimi ndio maana mke wangu hafanyi kazi.
Unajua kuna hatari na hatari zaidi. Wife akiwa home halafu akiwa anajitambua huwa poa sana,ila mke akiwa ofisini kadhalika akiwa anajitambua ni tatizo kubwa sana. Nimeandika haya kwa Kiswahili chepesi sana.