Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,494
- 113,590
Wanabodi,
Kila nipatapo fursa ya kujadili maendeleo yetu na nchi yetu, kupitia makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" zenye maswali fikirishi kuhusu mustakabali wa taifa letu Tanzania, leo nimepata fursa na naulizia kuhusu lifting export ban on copper concentrate, kuruhusu mchanga wa makinikia kuendelea kusafirishwa nje ya nchi kwenda kuchenjuliwa kwenye nchi za wenzetu wenye vichenjulio, je tume-lift this ban?
Tangu kusainiwa kwa mkataba kati ya serikali yetu na Barrick, mpaka sasa bado sijabahatika kujua the contents za kilicho sainiwa, lakini based on the draft iliyowahi kuletwa humu, draft ile ilionyesha mkataba ukiisha sainiwa, Tanzania tuta lift the export ban na mchanga utaruhusiwa kuondoka, "lifting the export ban on copper concentrate".
Leo from nowhere, usingizi umekata usiku mkubwa, something just tells me, mchanga unaondoka. Hicho kinachoniambia mchanga unaondoka, ni just some voices from within, hivyo hizi voices from within sio vitu vya kuviaminia sana, kwasababu unaisikia tuu sauti tuu bila uthibibisho wowote na haikumbii sababu, wala haikupi uhakika wowote wa hicho unachoambiwa.
Hivyo ukitokea ukaisikia sauti inakuambia chochote, the best way ni kuuliza na ku confirm hicho sauti ilichokueleza, na hiki ndicho ninachokifanya kwenye bandiko hili.
Rais Magufuli alipopiga marufuku kusafirisha mchanga wa dhahabu, tulimpongeza kwa hatua hiyo.
Kuzuia mchanga wa dhahabu, Magufuli anastahili pongezi. Tusiishie kwenye madini tu, na gesi je?
Kwavile siku tunayazuia makontena yale ya mchanga wa makinikia, tuliyabaini kufuatia ziara ya kushukiza ya Mhe. Rais Magufuli bandarini Dar ndipo yakashitukiwa kutaka kutoroshwa, tukayazuia, na taifa sio tuu tukaambiwa bali tulionyeshwa, nashauri siku tukiyaruhusu pia tuambiwe na ikiwezekana tuonyeshwe, maana kuona ni kuamini.
Katika ziara ile ya kushtukiza, naomba kukiri mimi niliipinga ziara ile kuwa sio ziara ya kushtukiza kweli bali ni igizo la ziara ya kushtukiza.
Kupata maendeleo ya kweli, Tanzania inahitaji systems not dramas, Ze Comedy na one-man shows
Lakini ikitokea ni kweli mchanga umeruhusiwa, then Watanzania tuna haki ya kupatiwa taarifa rasmi.
Kwa vile mpaka ninapoandika hapa, bado hakuna taarifa yoyote rasmi kama the export ban imekuwa lifted na mchanga unaondoka, kuna hili swali la msingi sana Watanzania tunapaswa kuelezwa na kuelimishwa.
Katika vita ya kulinda rasilimali zetu zisiibiwe, kama tuliuzuia ule mchanga wa makinikia usisafirishwe nje ya nchi kufuatia kuibiwa kwa kutokujua kilichomo na kinachopatikana, hivyo tulifanya export ban on concentrate ili kuzuia kuibiwa kwa kutokujua kilichomo, je tunawezaje ku lift the export ban na kuruhu mchanga uendelee kusafirishwa nje, bila kujua kilichomo?
Jibu la swali hili litajibiwa baada ya ama serikali kutangaza wazi the lifting of export ban on copper concentrate or kwa media kufanya ziara ya kushtukiza bandari ya Dar es Salaam kwa ruhusa ya Eng. Kakoko, na media kuonyeshwa yale makontena ya ule mchanga yaliyokuwa yamehifadhiwa hapa, mahali ambapo ni juani, (sasa hayapo), yamehifadhiwa mahali pengine kivulini, kufuatia yangeendelea kukaa pale juani ule mchanga ungeweza kuathirika kwa kupigwa jua, ukayeyuka na kuishia baharini, hivyo siku ya siku mwenye contena zake, akaja kushanga kukuta contena zake 277, zilizokuwa na mchanga wa makinikia zikiwa tupu kufuatia mchanga huo kuyeyuka na kutumbukia baharini.
Hitimisho
1. Je, zile containers 277 za mchanga wa makinikia zilizozuiliwa Bandari ya Dar es Salaam bado zipo?
2. Je, export ban ya mchanga wa makinikia imekuwa lifted?
3. Kama tuliuzuia mchanga ili kuzuia kuibiwa kwa kutojua kilichomo, tunawezaje kuruhusu export bila kujua kilichomo?
Nawatakia Jumatano njema.
Paskali.
Kila nipatapo fursa ya kujadili maendeleo yetu na nchi yetu, kupitia makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" zenye maswali fikirishi kuhusu mustakabali wa taifa letu Tanzania, leo nimepata fursa na naulizia kuhusu lifting export ban on copper concentrate, kuruhusu mchanga wa makinikia kuendelea kusafirishwa nje ya nchi kwenda kuchenjuliwa kwenye nchi za wenzetu wenye vichenjulio, je tume-lift this ban?
Tangu kusainiwa kwa mkataba kati ya serikali yetu na Barrick, mpaka sasa bado sijabahatika kujua the contents za kilicho sainiwa, lakini based on the draft iliyowahi kuletwa humu, draft ile ilionyesha mkataba ukiisha sainiwa, Tanzania tuta lift the export ban na mchanga utaruhusiwa kuondoka, "lifting the export ban on copper concentrate".
Leo from nowhere, usingizi umekata usiku mkubwa, something just tells me, mchanga unaondoka. Hicho kinachoniambia mchanga unaondoka, ni just some voices from within, hivyo hizi voices from within sio vitu vya kuviaminia sana, kwasababu unaisikia tuu sauti tuu bila uthibibisho wowote na haikumbii sababu, wala haikupi uhakika wowote wa hicho unachoambiwa.
Hivyo ukitokea ukaisikia sauti inakuambia chochote, the best way ni kuuliza na ku confirm hicho sauti ilichokueleza, na hiki ndicho ninachokifanya kwenye bandiko hili.
Rais Magufuli alipopiga marufuku kusafirisha mchanga wa dhahabu, tulimpongeza kwa hatua hiyo.
Kuzuia mchanga wa dhahabu, Magufuli anastahili pongezi. Tusiishie kwenye madini tu, na gesi je?
Kwavile siku tunayazuia makontena yale ya mchanga wa makinikia, tuliyabaini kufuatia ziara ya kushukiza ya Mhe. Rais Magufuli bandarini Dar ndipo yakashitukiwa kutaka kutoroshwa, tukayazuia, na taifa sio tuu tukaambiwa bali tulionyeshwa, nashauri siku tukiyaruhusu pia tuambiwe na ikiwezekana tuonyeshwe, maana kuona ni kuamini.
Katika ziara ile ya kushtukiza, naomba kukiri mimi niliipinga ziara ile kuwa sio ziara ya kushtukiza kweli bali ni igizo la ziara ya kushtukiza.
Kupata maendeleo ya kweli, Tanzania inahitaji systems not dramas, Ze Comedy na one-man shows
Lakini ikitokea ni kweli mchanga umeruhusiwa, then Watanzania tuna haki ya kupatiwa taarifa rasmi.
Kwa vile mpaka ninapoandika hapa, bado hakuna taarifa yoyote rasmi kama the export ban imekuwa lifted na mchanga unaondoka, kuna hili swali la msingi sana Watanzania tunapaswa kuelezwa na kuelimishwa.
Katika vita ya kulinda rasilimali zetu zisiibiwe, kama tuliuzuia ule mchanga wa makinikia usisafirishwe nje ya nchi kufuatia kuibiwa kwa kutokujua kilichomo na kinachopatikana, hivyo tulifanya export ban on concentrate ili kuzuia kuibiwa kwa kutokujua kilichomo, je tunawezaje ku lift the export ban na kuruhu mchanga uendelee kusafirishwa nje, bila kujua kilichomo?
Jibu la swali hili litajibiwa baada ya ama serikali kutangaza wazi the lifting of export ban on copper concentrate or kwa media kufanya ziara ya kushtukiza bandari ya Dar es Salaam kwa ruhusa ya Eng. Kakoko, na media kuonyeshwa yale makontena ya ule mchanga yaliyokuwa yamehifadhiwa hapa, mahali ambapo ni juani, (sasa hayapo), yamehifadhiwa mahali pengine kivulini, kufuatia yangeendelea kukaa pale juani ule mchanga ungeweza kuathirika kwa kupigwa jua, ukayeyuka na kuishia baharini, hivyo siku ya siku mwenye contena zake, akaja kushanga kukuta contena zake 277, zilizokuwa na mchanga wa makinikia zikiwa tupu kufuatia mchanga huo kuyeyuka na kutumbukia baharini.
Hitimisho
1. Je, zile containers 277 za mchanga wa makinikia zilizozuiliwa Bandari ya Dar es Salaam bado zipo?
2. Je, export ban ya mchanga wa makinikia imekuwa lifted?
3. Kama tuliuzuia mchanga ili kuzuia kuibiwa kwa kutojua kilichomo, tunawezaje kuruhusu export bila kujua kilichomo?
Nawatakia Jumatano njema.
Paskali.