Kulikoni yale mabati kwenye ukuta wa uzio wa Ikulu...?

Wakuu ukipita pale Ikulu ule ukuta wa fensi umezibwa na mabati kila mahali, kiasi kwamba huwezi ona chochote mle ndani!

Hivi nani aliwapa wazo la kuziba na yale mabati ambayo mwisho wa siku ni uchafu tu, kama hawataki eneo la ndani lionekane si bora wangepandisha ukuta.

Ile mibati inachefua sana, alafu ndo ofisi kuu ya serikali na taswira ya nchi.. Je wanajenga picha gani katika ofisi za kawaida na makazi ya watu huku mtaani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Waafrika ndivyo tulivyo. Nilishangaa sana siku moja enzi za Kikwete nilipopita karibu na Ikulu na kuona jinsi uwanjwa wa ikulu ulivyo mchafu, vichaka, vimigomba vilivyo lundikana na vipara vya vumbi, hakuna ukoka sehemu nyingi ni vumbi. Niligundua kuwa nyumbani kwangu pazuri zaidi ya ikulu.
 
Waafrika ndivyo tulivyo. Nilishangaa sana siku moja enzi za Kikwete nilipopita karibu na Ikulu na kuona jinsi uwanjwa wa ikulu ulivyo mchafu, vichaka, vimigomba vilivyo lundikana na vipara vya vumbi, hakuna ukoka sehemu nyingi ni vumbi. Niligundua kuwa nyumbani kwangu pazuri zaidi ya ikulu.
Mimi nashangaa kwanza kwanini ikulu ifichwe vile? Ile ni nyumba ya umma (The peoples house) sasa kwanini watanzania wazuiliwe hata kuiona tu nyumba yao? Kama ni concern za usalama wa rais inamaana TISS wanashindwa kumlinda rais kama ikulu ikiwa visible hata kwa mbali? Mbona ikulu zingine kama white house kule marekani zina usalama lakini kuna eneo ambalo wananchi na watalii wanaiona ikulu hiyo na hata kupiga picha?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipindi cha Jk ulikuwa ukipita pale kwa nje unawaona wanyama ilikuwa mpaka raha yaani,hadi ile barabara ya barack Obama kuipita kwa miguu ilikuwa ni raha sana lakini sasaivi ukionekana maeneo yale tu kwa sekunde kipindo cha mbwa koko kitakuhusu
Pale kwa ndani kumebomolewa tunahamia Dodoma msiwe madwanzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu ukipita pale Ikulu ule ukuta wa fensi umezibwa na mabati kila mahali, kiasi kwamba huwezi ona chochote mle ndani!

Hivi nani aliwapa wazo la kuziba na yale mabati ambayo mwisho wa siku ni uchafu tu, kama hawataki eneo la ndani lionekane si bora wangepandisha ukuta.

Ile mibati inachefua sana, alafu ndo ofisi kuu ya serikali na taswira ya nchi.. Je wanajenga picha gani katika ofisi za kawaida na makazi ya watu huku mtaani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ikulu ipi inayozungumziwa, ya Dodoma au Dar?. Kama ni Dodoma kuna ujenzi unaendelea.....
 
Yaweza kuwa kuna ukarabati unafanyika kwa ndani.

Tuliza mzuka!
Nawasilisha.
Wakuu ukipita pale Ikulu ule ukuta wa fensi umezibwa na mabati kila mahali, kiasi kwamba huwezi ona chochote mle ndani!

Hivi nani aliwapa wazo la kuziba na yale mabati ambayo mwisho wa siku ni uchafu tu, kama hawataki eneo la ndani lionekane si bora wangepandisha ukuta.

Ile mibati inachefua sana, alafu ndo ofisi kuu ya serikali na taswira ya nchi.. Je wanajenga picha gani katika ofisi za kawaida na makazi ya watu huku mtaani?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom