wabongo wanapenda kuchonga sana na utapeli mwiiingi...vitendo ni zerooo...na hili ni kwa wote wasomi na wasioenda shule ...hawana tofauti ..bongo mwenye degree na asie nayo hakuna tofauti tena asie nayo anaweza akawa na afadhali c unaona hata matokeo ya uchaguzi darisalamu kwenye wasomi wanaojua mambo ccm inashinda kirahisi lakini vijijini kwenye wakulima inakwama!!!!aliesema ni kichwa cha mwendawazimu hakukosea hata kidogo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.