Kulikoni ujenzi wa taasisi za kiislamu kufanywa na serikali?

Hapana umakosea, sijasema msaada wa waislamu ni kigezo cha kukubaliana mkataba mingine. Na sidhani kama ktk mikataba 20 iliyosainia, imesainiwa kwa mwamvuli wa uislamu. Ila wao Morocco ndio wamependelea au kuomba kusaidia maendeleo ya uislamu TZ kwa imani kwamba waislamu wote duniani ni watu wa familia moja. Na Serikali yetu haioni tatizo lolote kusaidia taasisi ya kiislamu TZ.
Kama wao ndo wameomba nadhani basi kosa halijafanyika kuwakubalia
 
Mwanadamu amepewa uwezo wa kutafakari, kwehiyo linapotokea jambo lisilo lakawaida lazima aenze kutafakari na kujiuliza maswali mengi.

Hili ndilo swali ninalo jiuliza je kuna nini nyuma ya jambo hili kuhusu ujenzi wa taasisi za kiislam kufanywa na serikali ya awamu ya tano?...muda simrefu tulimuona mkuu wa mkoa wa Dar akitoa ahadi ya
Tshs bil 4 kujenga ofisi za kislam Dar hata kabla haujapita mwaka tumemsikia Rais akiomba msaada wa kujenga msikiti mkubwa Dar. hili siyo jambo baya likifanywa kwa nia njema, maana natarajia muda simrefu hata taasisi za Ki-kristo zitapokea ufadhili huo muda simrefu.

Lakini siwezi kunyamaza kimya maana naifahamu historia ya viongozi wengine wa serikali waliofanya hivyo lengo lao lilikuwa kuwafunga viongozi wa dini midomo kama alivyofanya mfalme Constantine matokea yake viongozi wote wa jini walikaa kimya wakisubiria maamuzi kutoka kwa mfalme wa nchi. Ikasababisha viongozi wa dini kushindwa kukemea serikali pale ilipoenda kinyume.
Nitafakari yangu wala msinihukumu


GSM
 
Kwa
Morocco ni nchi ya kiislam na moja kati ya nguzo zake ni kuiendeleza dini ya kiislam. Serikali ya TZ inatambuwa baadhi ya wananchi wake ni waumini wa dini ya kiislam, Morocco wanafedha za kuendeleza dini ya kiislam. Waislam wa Tanzania wanaitaji msaada wa kuiendeleza dini yao. Serikali ilichofana ni kuunganisha hizi pande mbili, mwenye fedha na anayehitaji fedha. Hakuna pazia wala dirisha.
Kwan kuwaendeleza waislamu n kufungua misikiti
 
Jaama anajifanya eti anakula na kipofu, siku hizi watu wote wajanja, muda ukifika unakula za uso, ukisema vipi kale kama kamjengo watakuuliza tulikutuma si ulijipendekeza, watu watakula kichwa kama hawakujui.
 
Hii inaitwa devide and rule,...hii chama chakavv inatafu wafuasi kwa udi na uvumba pasipokujari hathari zake....
 
Hii inaitwa devide and rule,...hii chama chakavv inatafu wafuasi kwa udi na uvumba pasipokujari hathari zake....
 
Ni kitu gani kimewaingia viongozi wa chama tawala? Wanacholenga siyo maendeleo ya watu hata kidogo ni kulenga kura kwa kutumia cheap popularity ama kwa kujipendekeza. Mpaka wanazidi na kufanya mambo ya ajabu na ya aibu kama kufanya uharamia wa wazi wa kuiba kura na kujenga misikiti na viwanja vya mpira badala ya kuwasaidia wenye shida ya njaa.
Kipaumbele cha chama hiki ni vitu na kuhonga na siyo watu?
Mwalimu alisema maendeleo ya kweli ni ya watu siyo ya vitu.
 
Mwanadamu amepewa uwezo wa kutafakari, kwehiyo linapotokea jambo lisilo lakawaida lazima aenze kutafakari na kujiuliza maswali mengi.

Hili ndilo swali ninalo jiuliza je kuna nini nyuma ya jambo hili kuhusu ujenzi wa taasisi za kiislam kufanywa na serikali ya awamu ya tano?...muda simrefu tulimuona mkuu wa mkoa wa Dar akitoa ahadi ya Tshs bil 4 kujenga ofisi za kislam Dar hata kabla haujapita mwaka tumemsikia Rais akiomba msaada wa kujenga msikiti mkubwa Dar. hili siyo jambo baya likifanywa kwa nia njema, maana natarajia muda simrefu hata taasisi za Ki-kristo zitapokea ufadhili huo muda simrefu.

Lakini siwezi kunyamaza kimya maana naifahamu historia ya viongozi wengine wa serikali waliofanya hivyo lengo lao lilikuwa kuwafunga viongozi wa dini midomo kama alivyofanya mfalme Constantine matokea yake viongozi wote wa jini walikaa kimya wakisubiria maamuzi kutoka kwa mfalme wa nchi. Ikasababisha viongozi wa dini kushindwa kukemea serikali pale ilipoenda kinyume.
Nitafakari yangu wala msinihukumu
Mbona Lowasa alikuwa akiwapa pesa nyingi karibia na kampeni. Kulikuwa na nini?
 
Umeona eh! Na wako tayari kujinyakulia kwani wamejishika na polisi na jeshi. Mambo yote yanayofanyika ni ya ajabu ajabu siku hizi hata hawafichi.
 
Si jambo baya . Ni moja ya namna ya kuishi na kama Papa atahitaji naye kujenga ..amtembele Rais ...Rais wetu hana shida watajenga tu
 
Shida ya wa tz wengi wala hawaelewi shida ni nini. Wao kwao ni bora shabiki tu. Hawaoni shimo kubwa linalochimbwa na wazee wao.
 
Jaama anajifanya eti anakula na kipofu, siku hizi watu wote wajanja, muda ukifika unakula za uso, ukisema vipi kale kama kamjengo watakuuliza tulikutuma si ulijipendekeza, watu watakula kichwa kama hawakujui.
lile jamaa limetoka morocco likiwa limepanga kabisa kujenga msikiti,sema huku wakaunga kama rais ndo kaomba,
haingii akilini rais kuomba msaada wa kujengewa msikiti.
Sema wamefanya promo kama kuwapa kichwa waislamu wahisi rais yuko nao karibu baada ya teuzi za asilimia 3 tu kwenda kwa waislamu katika asilimia 100
 
Back
Top Bottom