Kulikoni TBC FM hamuweki nukuu za Nyerere siku ya leo, mnaweka nyimbo za komba?

Kulikoni TBC FM hamuweki nukuu za Nyerere siku ya leo, mnaweka nyimbo za komba?

Mende mdudu

Senior Member
Joined
Feb 13, 2023
Posts
197
Reaction score
405
Katika pitapita zangu huku london nkaweka online radio za TZ, nipate kumbukumbu zake kwa siku ya leo, ila naona nyimbo za komba zimetamalaki, kuliko nukuu za nyerere, maana nyerere hana nukuu alio paka rangi zote kaongelea uhuru wa kweli , true sovereignty.
 
Write your reply...mbona hakuna tbc fm hapa tanzania ipo tbc taifa, tbc1,tbc2, tbc intr, safari tv na bongo fm
 
hizo channel sio za kufatilia ni upuuzi kila muda
 
Back
Top Bottom