Kama daktari,
Siruhusiwi kutoa taarifa za mgonjwa! Pia nawashauri msijadili mambo ya ugonjwa wa mweshimiwa waziri!
hivi ile sumu inaitwaje vile
Wewe hapa kuna issue mbili uhusiano wa ugonjwa na nywele kunyonyoka. Please stick to the main issue under discussion!!Kwahiyo hata wewe ukinyoa unatakiwa kuhojiwa??
Hapo umetoa majibu ya kisayansi japo sijui kama Mheshimiwa yuko kwenye dose ya cancer!!Hiyo ni side effect ya dawa za kansa.
mnh yaani kunyoa nywele napo kunamake headlines?