Hadi sasa Picha ya Raisi inayotumika kwenye ofisi zote ni ya Jakaya Kikwete, zikimtambulisha kama Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania.
Kwa maoni yangu hili si jambo jema hasa ikizingatiwa kuwa kwa sasa tunae raisi mpya zaidi mwezi mmoja umepita.
Hatuweki precedence nzuri.
Isitoshe picha ya raisi huwa inauzwa tena kwa lazima (mwenye ofisi huwezi kwepa), hata kama fedha za kuichapisha hakuna serikali itoe tenda.
Wahusika walione hilo.
Kwa maoni yangu hili si jambo jema hasa ikizingatiwa kuwa kwa sasa tunae raisi mpya zaidi mwezi mmoja umepita.
Hatuweki precedence nzuri.
Isitoshe picha ya raisi huwa inauzwa tena kwa lazima (mwenye ofisi huwezi kwepa), hata kama fedha za kuichapisha hakuna serikali itoe tenda.
Wahusika walione hilo.