Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,866
- 4,252
Taarifa ya habari za kimataifa imesomwa kiajabu sana. Habari ya urusi imewekwa libya na kinyume chake. Halafu msomaji hajatuomba radhi. Mzee Mengi umeona? Ama staff wako hawajali ama taarifa za habari hurekodiwa?