Ni kawaida kila mkutano wa bunge unapofunguliwa sisi tulioko nyumbani tunasubiria kwenye tv zetu kuangalia nini kinaendelea huko mjengoni dodoma, lakini leo hakuna hata tv moja inayoonyesha mkutano huo wa bunge. Je ni sababu gani zimefanya hata tbc ya serikali kuacha kuonyesha mkutano huo muhimu? Hata star tv haionyeshi! Hali hii siyo nzuri wanayotutendea serikali.
TBC wametoa sababu ya kijinga kabisa.... but kikubwa hapa ni ujio wa lema live hawataki kuuona ata star tv nayo imebuma.
But tutaona tu kwenye source nyingine makini.
Star tv wanasemaje kuhusu hilo,je watarusha live?
Mkuu wangu Star Tv inamilkiwa na mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza.