Kulikoni bunge haliko live?

Kulikoni bunge haliko live?

Ni katika kutekeleza mkakati wao wa kusitisha matangazo ya moja kwa moja ya bunge.
Komedi, kusinzia mjengoni pamoja na utoro umekuwa ugonjwa sugu wa bunge la bi. Kiroboto...
 
Serikali dhaifu ya Fastjet ndo imesababisha haya yote..
Naichukia CCM na kadiri siku zinavyoenda ndo nazidi kuichukua...
Ukiwa mwanaccm lazma kichwani utakuwa mburula
 
Tbc1 wameibuka na gia kuwa mtambo wao wa kurusha matangazo ya moja kwa moja ya bunge umepata hitilafu na kuharibika.swali, je hawajafanya makusudi ili watu wasione ujio wa Lema bungeni leo?!iweje mtambo ukorofishe leo leo siku ya bunge?!natafakari

Thubutu !!!! Mtambo wa kurusha matangazo live umeharibika !!! Miaka 51 ya utendaji kazi, mtambo unaharibika katika tukio ambalo lilijulikana kuwa litakuwepo kabla ya miezi minne ? Vipi kuhusu radio au Nyota TV, anyway, mimi sio mtalaam wa mambo ya ving'amuzi.
 
TbBC imekuwa kama mali ya mtu binafsi,haizingatii maslahi ya umma,bali ni ya cCCM na vibaraka wake! Mkutano wa bunge ni muhimu kuliko mkutano wa ccm (NEC).
 
Hii nchi imeoza yaani hata haki ya kupata habari imekuwa ni ngumu kwa hii serikali ya magamba???? Tbc walikuwa wapi muda wote hadi leo ndio watoe taarifa za mtambo kuharibika? Tunakwenda wapi? Jibu rahisi tu mitambo ni mibovu watu hawawajibishwi biashara as usual. Iko siku inakuja ambayo hamuijui mtalia na kusaga meno. Eleweni hizo taasisi mnazoziongoza sio nyumba zenu ndogo. Ni taasisi za umma.
 
Kuna tetesi za chini chini kwamba kuna mkono wa serikali ambao umezuia vituo vya televisheni nchini kutorusha kipindi cha Bunge siku ya leo kutokana na uoga wa maccm kwamba cdm watajipatia uaarufu maana makamanda wamejipanga..tbccm nao eti mtambo haujakaa vizuri.
-Hizi ni fikra mgando sana...na ni ukatili kwa wananchi!!na wanaharakati wafuatiliaji.
-Uchaguzi wa maccm wiki chache zilizopita ulirushwa moja kwa moja na tbccm!!!!!!!lakini leo kwakuwa kila jicho la mtanzania wanajua lipo dodoma...wameona watukatili kwa kutuletea porojo zisizo na mantiki kwa umma.

>>YOU CAN FOOL ALL THE PEOPLE SOME OF TIME,AND SOME OF THE PEOPLE ALL THE TIME,BUT YOU CAN'T FOOL ALL THE PEOPE ALL THE TIME
 
Sakata la mtwara linawaumiza kichwa pia kurejea kwa Godbless Lema BUNGENI ni tishio.
 
matumbo yanawachezacheza leo,pressure juu,wanahaha namna gani wataweza kuzuiya hizo shamrashamra NA MAPOKEZI YA NGUVU KWA KAMANDA LEMA. kuanzia mzee tyson,nape,bi kiroboto LEO MIOYO YAO IKO ICU...
 
Na huo mtambo unaweza rekebishwa mwakani mkuu. Hawa jamaa hawana uchungu na taifa hili, ni aibu,wangekuwa radhi kuonyesha chereko chereko,ama mkutano wa ccm ama cuf live! Watanzania tuwakatae watu hao 2015 kwa sauti moja kwenye box la kura.
 
Kwani mlidhan star tv wanaonyesha bure, wanalipwa.sa km bajet finyu hawajalipwa mnataka waoneshe bure?watalipaje mishahara?kwa tbc cjui sababu mana kwa hili wamenikera...
 
Serikali inaogopa swala la Lema na gesi Mtwara yakirushwa live wataaibika na wanaamini upinzani watapata umaarufu hivyo bora watunyime haki ya kutazama mambo yetu yakijadiliwa, tatizo wanafikiri kimasaburi sana.
 
Kwangu hii ndo maana halisi ya mbunge-"MBUNGE NI KIBARAKA WA SERIKALI ANAYESIMAMIA SERA NA KURATIBU SHUGHURI ZA SERIKALI"
 
ccm wanaogopa kuanguaka, hivi wanajiona wamesimama eeh? point upande wa upinzani na hasa CDM zinazidi kuongezeka. ccm endeleeni hivi hivi
 
hawa jamaa wananishangaza sana tulikuwa tunasikiliza hata kupitia radio mambo Arusha kupitia TBC1 leo hii ni kimya. TBC1 tv online haipatikani hata tunaonunua ilitucheck online tuone nini kinaendelea ndani ya nchi yetu inaonekana channel ten na ITv tu lakini kabla ya hapo tulikuwa tunaona matangazo nje ya nchi vizuri sana.
 
dah!hivi nipo wapi,kumbe bunge limeanza?ila itafahamika 2,hata wakibana.....km unavyoona kusini ngome kwishnei
 
Kwani mlidhan star tv wanaonyesha bure, wanalipwa.sa km bajet finyu hawajalipwa mnataka waoneshe bure?watalipaje mishahara?kwa tbc cjui sababu mana kwa hili wamenikera...

sawa tv inaweza ikawa gharama hata radio?
 
Hawa jamaa wa ajabu hawataki sisi mabosi wao tuliowaweka bungeni tuwaone?..sasa 2015 tunawatoa magamba wote tuwapeleke watakaopenda tuwaone live
 
Back
Top Bottom