J.K.Rayhope
JF-Expert Member
- Oct 26, 2011
- 316
- 31
Dume la mbegu limerejea,linatisha,waliolitishia wametishika nalo.Lema kikwetu ni :SHINDIKANA.
Ni kawaida kila mkutano wa bunge unapofunguliwa sisi tulioko nyumbani tunasubiria kwenye tv zetu kuangalia nini kinaendelea huko mjengoni dodoma, lakini leo hakuna hata tv moja inayoonyesha mkutano huo wa bunge. Je ni sababu gani zimefanya hata tbc ya serikali kuacha kuonyesha mkutano huo muhimu? Hata star tv haionyeshi! Hali hii siyo nzuri wanayotutendea serikali.
Huu ni ujinga. amka kifikra.