Kulikoni bunge haliko live?

Kulikoni bunge haliko live?

Dume la mbegu limerejea,linatisha,waliolitishia wametishika nalo.Lema kikwetu ni :SHINDIKANA.
 
Hapa nilipo roho ilikuwa inaniuma sana kutokuwa home ili niangalie bunge,kumbe yamekuwa hayo tena,tafadhali mwenye taarifa sahihi atujuze,japo kwa akili za maccm huenda ni uoga wa kumwogopa kamanda Lema
 
Ni kawaida kila mkutano wa bunge unapofunguliwa sisi tulioko nyumbani tunasubiria kwenye tv zetu kuangalia nini kinaendelea huko mjengoni dodoma, lakini leo hakuna hata tv moja inayoonyesha mkutano huo wa bunge. Je ni sababu gani zimefanya hata tbc ya serikali kuacha kuonyesha mkutano huo muhimu? Hata star tv haionyeshi! Hali hii siyo nzuri wanayotutendea serikali.

Acha kukalia majungu nenda kafanye kazi, utalalamikaje kutaka kuangalia Bunge live muda wa kazi?
 
Back
Top Bottom