Duh...mi sijijui nikilala hhuwa nakuaje...hahahaaaaa
Duh...mi sijijui nikilala hhuwa nakuaje...hahahaaaaa
Sasa Mbuzi Mzee naona heshima imeshuka. Sali sala yako ya Mwisho nakutafuta nikung'oe kucha kisha nikupeleke msitu wa Pande. Waage wana JF.
Huyo wa kwanza akiwa na hela, wadada wa humu waliowengi, masista duu wa town kama Wolper, Wema, Aunt Ezekiel watamshobokea na kumgombania.