Kulala msibani balaa

Kulala msibani balaa

Salute all MMU,
Hivi kulala msibani ni lazima? Nauliza hivi maana kunavitu nimeviona juzi msibani nikaona niwajuze tuu. Tumelala pale msibani mama mmoja Usiku akaanza kuota anadinyanya na mumewe khaa! Watu wote msibani tuliamka maana huyo mama alikuwa anakata mauno balaa na kutoa miguno ya mapenz mmh watu wakaanza kucheka kama baada ya dakika tano akahema kwanguvu kisha akarudi usingizini. Hakuna aliyemwamsha hadi asubuhi. Sasa huku sikujitia aibu.
Bora kukoroma kuliko vituko hivyo. Nihayotu.

Mh! hii kali, next time mwamshe haraka sana ukiona anfanya hivyo, huyo ana spritual husband, katika hali ya kawaida huwezi kulala na kuota unafanya mapenzi.
 
Last edited by a moderator:

[TD="class: xl67, width: 54"]1 Petro[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28"]5[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28"]8[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737"]Mwe na kiasi na kukesha; kwa kuwa mshitaki wenu Ibilisi, kama simba angurumaye, huzunguka-zunguka, akitafuta mtu ammeze. [/TD]

Hivi na wewe unaamini kuna kitu kama jini mahaba??...
Lakini pia kuota unananihiii mbona inatokea sana na nisehemu ya biolojia?...
 
hahahahahaha...kwa mantiki hiyo aisee kumbe bado niko mto Ruvu....Ntajitahidi niondoke hapa mto Ruvu nilipo nije hapo dar kwenyewe....manake sio siri sijawaona watu kibao hususan ulowataja....by the way kwa vile nimekuja kuweka kambi ntawatia tu machoni...nipe muda!!!

Naamini hajakuambukiza tabia yake mbaya. Ushawaona makungwi wa mji gfsonwin na Madame B? Kama bado hujawaona basi bado hujaingia mjini, bado uko mto Ruvu pale. Na huyu Mtambuzi kishakutambulisha kwa amu, Paloma na ladyfurahia? Kama kakubania watafute vijana Kipaji Halisi na Mentor wakupe mwongozo.
 
Hilo ni pepo la Uzinzi ambalo lina uwezo wa kuzini na binadamu wa ukweli hadi anafika kilele!
Ni watu wengi tu wanaingia mapenzi na mapepo, aka majini na wanamalizana usiku, na mwanamke mwenye hali ya hivyo huwa hana hamu na mumewe kabisaaa, hata akiombwa naniliu anakuwa mkali kama mbogo!
Njoo ufanyiwe maombi!

Hii pia inaweza kuwa sababu!
 
Nafikiri aibu itakuja pale kama kuna mtu atamstua kuwa..bi mkubwa umetoa manjonjo hapa si mchezo.....lakini kama walimnyamazia kimya anaweza asijue hata kilichotokea.

Ila hizi ndoto nyingine kweli zinafedhehesha.....khaa...

walimnyamazia lakin asubuhi wakamsimulia ndo maana aliona aibu
nikirefer stori ya sakapal
 
Last edited by a moderator:
hahahahahaha...kwa mantiki hiyo aisee kumbe bado niko mto Ruvu....Ntajitahidi niondoke hapa mto Ruvu nilipo nije hapo dar kwenyewe....manake sio siri sijawaona watu kibao hususan ulowataja....by the way kwa vile nimekuja kuweka kambi ntawatia tu machoni...nipe muda!!!

Hahahahaha......... kama ni kweli basi Zinduka!!!
 
Ndio nazinduka ivo bro..Nistulie Mentor basi kama yupo jirani yako hapo..

Utamkuta Leo Tupo Hapa Pub, kwa hisani ya Mtambuzi na Mjeda.

Angalizo: Kunywa pombe kwa wingi ni hatari kwa afya yako.

Imetolewa kwa msaada wa watu wa marekani.
 
Last edited by a moderator:
Mimi leo naondoka mjini kwa muda..uelekeo katerero!
sakapal, bange asubuhi ashubhi tena msibani si nzuri!!!

Ila nimependa huyo mama ameota hivyo. Angeota anapigana na mumewe je?
 
Last edited by a moderator:
Hiyo kali, yanimtu anaota hadi anakata mauno? Cant buy that!!
 
hakukuwa na wanaume wa kumsaidia kukata mauno? ili afike kilele halisia?
 
Last edited by a moderator:
kweli PakaJimmy huyo ni spritual husband
kipindi ninasoma boarding kuna mwenzetu alitembea na padre sasa usiku alikuwa anaota anafanya mapenzi mbaya zaidi akiamka anajikuta kachafuliwa kila kona
kwa kweli situation yake ilikuwa worse sana maana tulimuogopa kwa kweli plus wengi tulikuwa mabikra enzi hizo
ila alienda kuungamishwa akaombewa na ile hali ikaisha ..ngoja nimcheki anaendeleaje siku hizi

Genye tu hizo hamna kitu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom