Kulala msibani balaa

Kulala msibani balaa

Salute all MMU,
Hivi kulala msibani ni lazima? Nauliza hivi maana kunavitu nimeviona juzi msibani nikaona niwajuze tuu. Tumelala pale msibani mama mmoja Usiku akaanza kuota anadinyanya na mumewe khaa! Watu wote msibani tuliamka maana huyo mama alikuwa anakata mauno balaa na kutoa miguno ya mapenz mmh watu wakaanza kucheka kama baada ya dakika tano akahema kwanguvu kisha akarudi usingizini. Hakuna aliyemwamsha hadi asubuhi. Sasa huku sikujitia aibu.
Bora kukoroma kuliko vituko hivyo. Nihayotu.
Sakapal mtundu....
 
Hii dhana ya kulala msibani wakati mwingine ni kuwaongezea mzigo wafiwa hasa wakiwa wa kipato cha chini...bora wangekesha
 
hadi kukata mauno...hiyo ni noma.alikuwa na pozi gani?(style gani alikuwa anaitumia kati ya hizi:- kifo cha memde,kichuma mboga,pasua mbao au ile style mpya ya may 2013 inaitwa "kenua")
 
Sakapal mtundu....

weeh weeeh weeeeeehhh!! ndugu yangu usintafutute maneno kama ya bi hindu mie siyawezi hayo, haya utundu wangu ukoje na ukwapi, wapi nimefanya utundu, ujue watu wa jf hawana dogo wananukuu na iko siku wata quote maneno hayo best mmmhh haya................
 
hadi kukata mauno...hiyo ni noma.alikuwa na pozi gani?(style gani alikuwa anaitumia kati ya hizi:- kifo cha memde,kichuma mboga,pasua mbao au ile style mpya ya may 2013 inaitwa "kenua")

alilala kifudifudi..........................
 
...jini mahaba hilo amefunga nalo ndoa. siriazi anahitaji msaada wa kiroho wa haraka sana maana akicheza ataipoteza ndoa yake kama ameolewa maana hataweza kuwa na mumewe. Na vijana wengi wanadhani bado wapowapo kwanza,au wanachukia ndoa,au wanawachukia wake/waumezao ni jambo la kawaida kumbe zote ni kazi za jini mahaba,ndo chanzo cha mafarakano na kuharibu ndoa za watu,mwanye masikio na asikie...
 
lakini si uliongezea ujuzi hapo?hiyo ni faida kwako pia
 
huyo mtu angemuungia hapo hapo mzuka umempanda lazima angemgigida
 
lakini jina la kiume,wengine hawawezi kuona avatar.

ndo utamu wenyewe huo wa jf kama humjui mtu humjie yaani hujui kama waq kike au wa kiume au kaolewa au kaoa au...................... heheheeeee raha tupu, poleni wenye kazi na shida ya kutaka kujua nani ni nani humu jamvini loooh
mie siku huko, humu jamvini mie awe wa kike wa kiume wote kwangu ni binadamu shida akiwa si binadamu ndo ntatoka nduki hahahahaaaa kama nimemwona simba
 
Mmh...bora kukaa msibani macho mpaka saa nane usiku kisha uondoke kimya kimya ukalale kwako.....mambo gani haya?!

heheheeee hiyo nayo adhabu kama wanaimba poa shida ni pale msiba wa jirani unashiriki usiku na asubuhi kibaruani mbaya zaidi unakuta wanaweka msiba wiki nzima ndo wanazika, sasa mchana uko kazini huwezi pata ruhusa ya wiki nzima kushiriki msiba mchana, usiku ndo unapata nafasi ya kwenda kuonekana msibani, kumbuka pia ukiwa wa kwenda na kurudi kulala kwako siku yamekukuta kwako watu watakuja usiku wanakuacha na nyumba yako so inabidi msiba mmoja mmoja uwe unalala na ukisema ukeshe msibani usilale kesho yake job unasinzia, sasa hapo inategemea unafanya kazi gani kama unahudumia wateja au kazi yako kuchoma sindano wagonjwa heee watakomaje, hukawii kumchoma mgonjwa sindano kwenye TIGO kumbe umesinzia na ukastukia sindano imeingia huko loooh
Hii inaitwa ukisimama nchale, ukilala nchale, ukikimbia nchale, ukikaa nchale......................
 
bora aote akijilia raha kuliko aanze kupandisha sijui maruhani. michanganyiko ya makabila nayo ni tatizo, mweeh. mie nnavyokwepa kulala msibani, acha kabisa! wasipokuja kulala nikifa watajiju, by the way ntakuwa morgue na total strangers.
 
Mimi leo naondoka mjini kwa muda..uelekeo katerero!
sakapal, bange asubuhi ashubhi tena msibani si nzuri!!!

Ila nimependa huyo mama ameota hivyo. Angeota anapigana na mumewe je?
Hapo kwenye red ingekuwa patashika dera na khanga kuchanika
 
Sasa kwani lazima kila msiba ulale!!!!!!!

unaweza kukwepa kulala misiba yoote iule unasema leo nilale msiba huu ndo hapo hapo unaota, si unajua ile ya siku ya kufa nyani....................., na siku utembeayo uchi ndo ukutanayo na mama/baba mkwe?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom