Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
unaweza kukwepa kulala misiba yoote iule unasema leo nilale msiba huu ndo hapo hapo unaota, si unajua ile ya siku ya kufa nyani....................., na siku utembeayo uchi ndo ukutanayo na mama/baba mkwe?
Ni kweli huwezi kujua ndoto itakujaje kujaje!!!!!