Kulala msibani balaa

Kulala msibani balaa

unaweza kukwepa kulala misiba yoote iule unasema leo nilale msiba huu ndo hapo hapo unaota, si unajua ile ya siku ya kufa nyani....................., na siku utembeayo uchi ndo ukutanayo na mama/baba mkwe?

Ni kweli huwezi kujua ndoto itakujaje kujaje!!!!!
 
Salute all MMU,
Hivi kulala msibani ni lazima? Nauliza hivi maana kunavitu nimeviona juzi msibani nikaona niwajuze tuu. Tumelala pale msibani mama mmoja Usiku akaanza kuota anadinyanya na mumewe khaa! Watu wote msibani tuliamka maana huyo mama alikuwa anakata mauno balaa na kutoa miguno ya mapenz mmh watu wakaanza kucheka kama baada ya dakika tano akahema kwanguvu kisha akarudi usingizini. Hakuna aliyemwamsha hadi asubuhi. Sasa huku sikujitia aibu.
Bora kukoroma kuliko vituko hivyo. Nihayotu.

Hilo suala limenikumbusha 90's wakati nipo shule sekondari,tulikua darasani na mwalimu aliacha kufundisha ghafla na akanyamaza sekunde kama 20 hivi halafu kwa upole akasema,naomba muwaamshe hao waliolala,(kulikua kuna wanafunzi 2 wanauchapa) Ndo akaanza kutueleza kua tusipende na tujiepushe kulala sehemu yenye mjumuiko wa watu kama darasani,msibani nk..maana waweza ukajikojolea au ndoto kama hiyo na inakua aibu kubwa,Ila kujikojolea ni fedheha zaidi kwa vile kunakua na material imemwagika na harufu na kunatakiwa usafi ufanyike,hata kukusitiri inakua shida,na mbaya zaidi kama umekua wa mwisho kuamka ile alfajiri hukuishitukia issue mapema.

Kuna baadhi ya ndoto ambazo zinaweka mihuri na zingine haziweki mihuri kwenye akili za mashuhuda na mwenye ndoto.Ila DHAMIRI zetu zina nguvu na ndizo zinazokemea na kutuweka huru au kutuunguza mioyoni mwetu.Namaanisha matendo ya ndoto yanavumilika mbele ya macho ya mashuhuda na kwa aliyeota kuliko kufanya kitu makusudi mfano,uko msibani then usiku wa manane wenzio wanaomboleza wewe na mwezio mnatoroka mnaenda gizani kwenye ukuta wa nyumba mnaanza kugegedana na watu wanawafumania,hiyo ni aibu na laana kubwa,haivumiliki!!!!!Tujitahidi kua active kwenye mkusanyiko wa aina yotote wenye lengo la mtu kutolala.
 
Hilo ni pepo la Uzinzi ambalo lina uwezo wa kuzini na binadamu wa ukweli hadi anafika kilele!
Ni watu wengi tu wanaingia mapenzi na mapepo, aka majini na wanamalizana usiku, na mwanamke mwenye hali ya hivyo huwa hana hamu na mumewe kabisaaa, hata akiombwa naniliu anakuwa mkali kama mbogo!
Njoo ufanyiwe maombi!
Naskia Lady Anakonda analo hili,lol!!
 
kweli PakaJimmy huyo ni spritual husband
kipindi ninasoma boarding kuna mwenzetu alitembea na padre sasa usiku alikuwa anaota anafanya mapenzi mbaya zaidi akiamka anajikuta kachafuliwa kila kona
kwa kweli situation yake ilikuwa worse sana maana tulimuogopa kwa kweli plus wengi tulikuwa mabikra enzi hizo
ila alienda kuungamishwa akaombewa na ile hali ikaisha ..ngoja nimcheki anaendeleaje siku hizi
Padre au?
 
Salute all MMU,
Hivi kulala msibani ni lazima? Nauliza hivi maana kunavitu nimeviona juzi msibani nikaona niwajuze tuu. Tumelala pale msibani mama mmoja Usiku akaanza kuota anadinyanya na mumewe khaa! Watu wote msibani tuliamka maana huyo mama alikuwa anakata mauno balaa na kutoa miguno ya mapenz mmh watu wakaanza kucheka kama baada ya dakika tano akahema kwanguvu kisha akarudi usingizini. Hakuna aliyemwamsha hadi asubuhi. Sasa huku sikujitia aibu.
Bora kukoroma kuliko vituko hivyo. Nihayotu.

Hiyo ni feedback kwamba anampenda mume wake mpaka anamkumbuka mumewe kwenye issue za kudinyana wengine wangeota zile mechi za ugenini
 
Hilo ni pepo la Uzinzi ambalo lina uwezo wa kuzini na binadamu wa ukweli hadi anafika kilele!
Ni watu wengi tu wanaingia mapenzi na mapepo, aka majini na wanamalizana usiku, na mwanamke mwenye hali ya hivyo huwa hana hamu na mumewe kabisaaa, hata akiombwa naniliu anakuwa mkali kama mbogo!
Njoo ufanyiwe maombi!
nyumba ya ibada unayoendesha iko wapi mkuu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom