Kulala msibani balaa

Kulala msibani balaa

sakapal

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
1,804
Reaction score
1,425
Salute all MMU,
Hivi kulala msibani ni lazima? Nauliza hivi maana kunavitu nimeviona juzi msibani nikaona niwajuze tuu. Tumelala pale msibani mama mmoja Usiku akaanza kuota anadinyanya na mumewe khaa! Watu wote msibani tuliamka maana huyo mama alikuwa anakata mauno balaa na kutoa miguno ya mapenz mmh watu wakaanza kucheka kama baada ya dakika tano akahema kwanguvu kisha akarudi usingizini. Hakuna aliyemwamsha hadi asubuhi. Sasa huku sikujitia aibu.
Bora kukoroma kuliko vituko hivyo. Nihayotu.
 
Salute all MMU,
Hivi kulala msibani ni lazima? Nauliza hivi maana kunavitu nimeviona juzi msibani nikaona niwajuze tuu. Tumelala pale msibani mama mmoja Usiku akaanza kuota anadinyanya na mumewe khaa! Watu wote msibani tuliamka maana huyo mama alikuwa anakata mauno balaa na kutoa miguno ya mapenz mmh watu wakaanza kucheka kama baada ya dakika tano akahema kwanguvu kisha akarudi usingizini. Hakuna aliyemwamsha hadi asubuhi. Sasa huku sikujitia aibu.
Bora kukoroma kuliko vituko hivyo. Nihayotu.

Hahahahaah......... Bora huyo........

Wengine wanaaga wanaenda kulala msibani kumbe wanaishia gesht haush
 
Hilo ni pepo la Uzinzi ambalo lina uwezo wa kuzini na binadamu wa ukweli hadi anafika kilele!
Ni watu wengi tu wanaingia mapenzi na mapepo, aka majini na wanamalizana usiku, na mwanamke mwenye hali ya hivyo huwa hana hamu na mumewe kabisaaa, hata akiombwa naniliu anakuwa mkali kama mbogo!
Njoo ufanyiwe maombi!
 
Salute all MMU,
Hivi kulala msibani ni lazima? Nauliza hivi maana kunavitu nimeviona juzi msibani nikaona niwajuze tuu. Tumelala pale msibani mama mmoja Usiku akaanza kuota anadinyanya na mumewe khaa! Watu wote msibani tuliamka maana huyo mama alikuwa anakata mauno balaa na kutoa miguno ya mapenz mmh watu wakaanza kucheka kama baada ya dakika tano akahema kwanguvu kisha akarudi usingizini. Hakuna aliyemwamsha hadi asubuhi. Sasa huku sikujitia aibu.
Bora kukoroma kuliko vituko hivyo. Nihayotu.

kwenye misiba ni sehemu ya kukesha usiku mzima na siyo kulala
 
Salute all MMU,
Hivi kulala msibani ni lazima? Nauliza hivi maana kunavitu nimeviona juzi msibani nikaona niwajuze tuu. Tumelala pale msibani mama mmoja Usiku akaanza kuota anadinyanya na mumewe khaa! Watu wote msibani tuliamka maana huyo mama alikuwa anakata mauno balaa na kutoa miguno ya mapenz mmh watu wakaanza kucheka kama baada ya dakika tano akahema kwanguvu kisha akarudi usingizini. Hakuna aliyemwamsha hadi asubuhi. Sasa huku sikujitia aibu.
Bora kukoroma kuliko vituko hivyo. Nihayotu.

Aibu gani sasa? Nani hajawahi kuota? Na je m2 unaweza kujichagulia ndoto?
 
kweli PakaJimmy huyo ni spritual husband
kipindi ninasoma boarding kuna mwenzetu alitembea na padre sasa usiku alikuwa anaota anafanya mapenzi mbaya zaidi akiamka anajikuta kachafuliwa kila kona
kwa kweli situation yake ilikuwa worse sana maana tulimuogopa kwa kweli plus wengi tulikuwa mabikra enzi hizo
ila alienda kuungamishwa akaombewa na ile hali ikaisha ..ngoja nimcheki anaendeleaje siku hizi
 
Last edited by a moderator:
Salute all MMU,
Hivi kulala msibani ni lazima? Nauliza hivi maana kunavitu nimeviona juzi msibani nikaona niwajuze tuu. Tumelala pale msibani mama mmoja Usiku akaanza kuota anadinyanya na mumewe khaa! Watu wote msibani tuliamka maana huyo mama alikuwa anakata mauno balaa na kutoa miguno ya mapenz mmh watu wakaanza kucheka kama baada ya dakika tano akahema kwanguvu kisha akarudi usingizini. Hakuna aliyemwamsha hadi asubuhi. Sasa huku sikujitia aibu.
Bora kukoroma kuliko vituko hivyo. Nihayotu.

Hapo nilipobold....ni kweli? au umetia chumvi?....manake sipati picha ya mtu aliyeko matatizoni kukata hayo mauno ya haja...
Anyways...nadhani ndoto haichaguliki...unaweza kuota chochote... by the way Asprin uko poa bro?... wapi Erickb52 , KakaKiiza na Bujibuji ?
 
Last edited by a moderator:
Hivi mtu afanyaye kisanga chochote usingizini (unconsciously) , twaweza kusema kapatwa na aibu....??
 
kweli PakaJimmy huyo ni spritual husband
kipindi ninasoma boarding kuna mwenzetu alitembea na padre sasa usiku alikuwa anaota anafanya mapenzi mbaya zaidi akiamka anajikuta kachafuliwa kila kona
kwa kweli situation yake ilikuwa worse sana maana tulimuogopa kwa kweli plus wengi tulikuwa mabikra enzi hizo
ila alienda kuungamishwa akaombewa na ile hali ikaisha ..ngoja nimcheki anaendeleaje siku hizi

Or rather a DEMON
 
Fedheha i wapi kwa mtu asiyetambua kinachoendelea in a real world?
Step out and at least for one second understand human biology
hivo hivo this word is not fair meeen
ukiharibu ni umeharibu tu haijalishi ni usingizini,umelewa au una akili zako timamu
 
Hapo nilipobold....ni kweli? au umetia chumvi?....manake sipati picha ya mtu aliyeko matatizoni kukata hayo mauno ya haja...
Anyways...nadhani ndoto haichaguliki...unaweza kuota chochote... by the way Asprin uko poa bro?... wapi Erickb52 , KakaKiiza na Bujibuji ?
Niko poa muzee. Nimepata habari yako kuwa uko mujini lakini hutaki kuonana na kaka mukubwa. Hii mutu inaitwa KakaKiiza umefanikiwa kuonana nayo? Iangalie sana bazazi hiyo haichelewi kukuingiza choo cha kike...
 
Last edited by a moderator:
Hivi mtu afanyaye kisanga chochote usingizini (unconsciously) , twaweza kusema kapatwa na aibu....??

aibu haikwepeki we uote unagegedwa tena kwa sauti watu wote
wakaamka kukutizama wewe usione aibu.....

Its unconsious lakin u feel shy cos it happened on the public,
All the people staring on you...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom