MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,950
- 26,050
nimecheka !dahKiroho hapo unakuwa unaunganishwa na roho za mahali hapo..
nimecheka !dahKiroho hapo unakuwa unaunganishwa na roho za mahali hapo..
Ukijamba ndio utajua ni raha au karaha
Hapo parapanda ikipiga atashtuka akimbie, Malaika wanaweza kumkamata kwa kutumia vifaa maalum.
Nimemdhalilisha wapi?Futa post yako broo tumeshaona inatosha, huyo mama mstaarabu acha kumuanika kwa kumdhalilisha.
Yupo katika sala / maombi, angalia vizuri
Anza wewe kunishtaki!Sasa unavyomdhalilisha hivi mama wa watu, akikushtaki utamlaumu nani? Tumia akili bwege wewe..; na mods muwe attention
HahahaUkijamba ndio utajua ni raha au karaha
Kwani mama yake naye analalaga kwenye mikutano!?ujinga mtupu,angekua mama yako ungemchoresha hivyo?
Ni hatari kwa kweliUkijamba ndio utajua ni raha au karaha
Maza anausingizi mchafu!!Umemkosea adabu, sababu mama mwenyewe hajawahi kuwa na siasa chafu.