Kulala bila nguo ya ndani (kyupi)

Kulala bila nguo ya ndani (kyupi)

Vyupi ni kinga ya mavumbi na mauchafu mengi sasa usiku unalala nayo kuzuia nini ? Kama ulizaliwa nayo endelea kuivaa tu
 
Hahahaaaa! Na kweli babu, maswali gani haya tunaulizana tena!!!

Tatizo mnashindwa kujua jinsi ya kuwajibu watoto wenu.

Tangu lini watoto wakaacha kuuliza maswali? Wapeni majibu yanayowafaa na kikubwa wambie wasubiri muda ukifika watayajua, watayaonja, watayala na kuyachoka. Tatizo mnaanza kuweleza mambo yaliyowazidi umri... mtaacha kuzua maswali zaidi?

Mtoto: hivi mama, mtoto anapatikanaje?
Mama: anauzwa dukani
Mtoto: duka gani? Pale kwa Mpemba? utanipeleka nikanunue wa kwangu...? Tena wa kike nimtoge masikio?
Mama: mhh..mhhh...mhh...ngoja baba akija atupe hela.
Mtoto: kwani wewe huna hela?.......

Mtamaliza usaili kweli??
 
Kwanza hiyo pichu unavaa tangu asubuhi mpaka jioni huchoki tu mpaka uvae tena usiku?
hata hiyo k inahitaji upepo na kujiachia

kumbe k zinahitaji upepo... kwahiyo tuanze kuwa tunazipuliza tukiwa nazo karibu lol!!!
 
Tatizo mnashindwa kujua jinsi ya kuwajibu watoto wenu.

Tangu lini watoto wakaacha kuuliza maswali? Wapeni majibu yanayowafaa na kikubwa wambie wasubiri muda ukifika watayajua, watayaonja, watayala na kuyachoka. Tatizo mnaanza kuweleza mambo yaliyowazidi umri... mtaacha kuzua maswali zaidi?

Mtoto: hivi mama, mtoto anapatikanaje?
Mama: anauzwa dukani
Mtoto: duka gani? Pale kwa Mpemba? utanipeleka nikanunue wa kwangu...? Tena wa kike nimtoge masikio?
Mama: mhh..mhhh...mhh...ngoja baba akija atupe hela.
Mtoto: kwani wewe huna hela?.......

Mtamaliza usaili kweli??

Teh teh teh teh!
 
Usiku kabla ya kulala unahakikisha umefunga gate na milango yote kwa uhakika ili wezi na vibaka wasiingie na ukifika chumbani unafunga madirisha na ukifika kitandani unachomeka net ili mbu wasikudhuru sasa ukishafika kitandani ukakomaa kulala na chupi unakuwa na maana kwamba mmeo ni jambazi au unaogopa asikubake ? Jiachie bn
 
Mie napenda sana kulala bila chupi maana ifikapo alfajiri kwanza uke unakuwa umeumuka pia kuna uteute flani hivi huwa unatoka huku chini...naupenda sana unavyonukia...ki utamu-utamu...yaani unaleta 'ashki' ya kulicheza segere.

hahahaha ndio maana roby alikupiga ngwara😀😀😀😀
 
Mimi siku nikimkurupusha atoto saa nane ya usiku nikimkuta na pichu yaani siku hiyohiyo nampiga talaka zote tatu kwa mkupuo!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom