Kulala bila nguo ya ndani (kyupi)

Kulala bila nguo ya ndani (kyupi)

A woman body is an art work,kwa kyupi au bila kyupi still anatia ashki na anavutia,hata akivaa haileti usubumbufu sababu hata kuivua yenyewe ni raha tosha ndo maaana wengine tunaivua kwa meno

exactly Mr. killer wafundishe mapenzi wayaelewe body ya mwanamke inakuwa na mvuto mkubwa pale akiwa na kiupi na kuivua huyo kiupi ndo raha yenyewe...
 
alafu kiafya mwanamke kulala na chupi ni mbaya sio kwa wanandoa tu hata kwa wale ambao hawajaolewa haishauri mtoto wa like ucku kulala na chupi..
 
Usiku kabla ya kulala unahakikisha umefunga gate na milango yote kwa uhakika ili wezi na vibaka wasiingie na ukifika chumbani unafunga madirisha na ukifika kitandani unachomeka net ili mbu wasikudhuru sasa ukishafika kitandani ukakomaa kulala na chupi unakuwa na maana kwamba mmeo ni jambazi au unaogopa asikubake ? Jiachie bn

He hee duh
 
Back
Top Bottom