mi hata hapa nilipo mchana huu niko room kwangu nimejipumzisha uchi kabisaaaa....na relux!!!!!!..
vijana wangemstukia/kama walimstukia walijigongea chabo.......nakumbuka nikiwa mdogo kuna ...yangu alikua anapenda kuoga huku bafu likiwa wazi, nikawa najipimia tu kupitia vipenyo vya dirisha usawa wa bafu.............weka picha tuthibitishe.
Kwenye nyumba yako ndiyo hakuwezi kutokea moto wala kuingiliwa na majambazi? Hivi ikipigwa fatuma kwenye geti la nyumba yako unaweza kukumbuka hata kuvaa nguo? Na usishangae linapotua tu kwenye mlango tayari wao wameshazama ndani na wanakukuta ndiyo kwanza upo kama ulivyozaliwa. Itakuwaje? Pamoja na uhuru wa kuwa nyumbani kwako, kwa security ya bongo hii angalau bukta mhimu.Maisha hayo ya kukurupushwa hayako applied kwa maisha ya kila mtu babu, wengine tunakaa kwenye nyumba zetu wenyewe na kuna amani. Pole sana, I hope unalala na viatu pia kwa kuogopa kukurupushwa
mimi nikiingia ndani,navua pichu yangu.sivai hicho kitu kabisa,sababu kubwa nataka k ipate upepo.naona raha kabisa
mimi nikiingia ndani,navua pichu yangu.sivai hicho kitu kabisa,sababu kubwa nataka k ipate upepo.naona raha kabisa
Mimi nalala uchi, lakini sio wa mnyama kama ulivyosema bali uchi wangu mwenyewe. Nalala uchi kwa sababu hata mchana navyovaa nguo huwa navaa kwa sababu ya kujisetiri. Sasa sijui nikiwa chumbani kwangu, sina safari wala mgeni unataka nivae nguo ili iwe nini.
Kipindi nasoma, nilikuwa nakaa chumbani na taa yangu ya mezani uchi na hapo na 'matirio' ndio yalikuwa yanazama ubongoni murua. Kukaa uchi raha bwana asikwambie mtu, seuze kulala?
Kwa namna ile unavyoipumzisha miguu yako kutoivalisha mibuti unapokuwa ndani basi ndio unatakiwa uutendee haki uchi wako unapokuwa room. Ni ufisadi mkubwa kupeleka sura beach kupunga hewa huku uchi hauna hata nukta ya kupunga hewa
lakini hebu fikiria mwanaume uko pweee halafu mwizi anakuibukia, undhani utapata muda wa kutafuata pensi?