Kulala Bila Kuvaa Nguo Yoyote

Kulala Bila Kuvaa Nguo Yoyote

Kulala uchi raha bana.....mi mwenyewe nikiwa room,aaahh...fuul kujiachia
 
Ukiwa na mpenzi wako achana kabisa na mambo ya kulala na minguo, kuna bonge la raha;

unalala na nguo kwa kuhusu nini.
 
ndio maana mnakuwa na tum.....oo tufupi mda wote umekakunja kwenye pichu\boxer, iachie ijinyooshe usiku.
 
Mwendo wa kibukta tu usiku.....,a.k.a self container maana uswaz ucku ni hatar.Unaficha cm yako mwenyewe tuli.
Kama komando kipensi!
 
we acha hizo kukaa uchi kwa rum kama bachelor au uko na wife ama jamaa raha sana! ila inatakiwa tahadhari kubwa sana make sure yr dor iko locked!
Uc.hi unatisha nyie acheni masikharaaaa! Yaani ukimuona mtu ambae hujakusudia akiwa hivo mambo yako yote yanasimama kwa gundu, nuksi na mikosi.
 
Kama kuna mechi usiku ni vizuri ili ufanikishe hanjamu, lakini kama hamna na uko alone kuna baridi hakuna maana uteseke vaa tu,
 
lala uchi una mkeo au mmeo halali tena kwako wala si guest,ukiwa na kimada lala na jezi zote mpaka viatu tayari kwa fumanizi
 
Nakuwa uchiiiiiii kabisaaaa nikiwa na my LOVE bhaaaaaasi
 
Mh hiyo si sahihi kwa kweli, ukikurupushwa usiku na moto utatoka nje dudu inaning'inia hahahahah
..kwani we unalala ili ukurupushwe usiku??....kwani huwezi kuvamiwa na ukavuliwa nguo huo usiku??.....sleeping at night is a private affair...you can do it in whichever way you like....hayo ya kukurupushwa ni ajali tu..kama zilivyo nyingine...
 
Tabia ya kulala uchi si mzuri mi mwenyewe nishawahi kugonga house girl home nilifika mchana kumuomba pasi alikuwa usingizini akaniambia nipite ghafla ngoma ikasimama,kumpapasa kidogo tu imo nilimgegedaje
 
Back
Top Bottom