Kulala Bila Kuvaa Nguo Yoyote

Kulala Bila Kuvaa Nguo Yoyote

Maisha hayo ya kukurupushwa hayako applied kwa maisha ya kila mtu babu, wengine tunakaa kwenye nyumba zetu wenyewe na kuna amani. Pole sana, I hope unalala na viatu pia kwa kuogopa kukurupushwa
anavaa pia miwani yake ili akikurupushwa aone vizuri.
 
So u sleepwalk too. Nimeprint hiyo sign na nimeistick kwa mlango. So u r welcome at ur own risk.

I like taking risk b'se I'm very risky.

But if you're dangerous, I will have to "kill" you right there.
 
Kama wewe ni mwana-ndoa, sidhani kama ni sahihi kulala ukiwa umevaa nguo kwani kufanya hivyo ni kumnyima mwenzi wako uhuru wa kuuchezea/kuutumia mwili wako, ambao ni halali yake!
Mume mwanajeshi, mke polisi, full combat mpaka asubuhi.
ukisikia hamu na mwenzio unamtumia sms hii"vua combat, nina hamu mwenzio" na yeye anachukua simu yake anajibu "teh teh, nina-bleed, pole, jaribu tena siku nyingine".
hapo maisha yanaenda kijeshi jeshi.
 
Yaani nimecheka kwa sauti mwenyewe kama chizi. Lol
Mume mwanajeshi, mke polisi, full combat mpaka asubuhi.
ukisikia hamu na mwenzio unamtumia sms hii"vua combat, nina hamu mwenzio" na yeye anachukua simu yake anajibu "teh teh, nina-bleed, pole, jaribu tena siku nyingine".
hapo maisha yanaenda kijeshi jeshi.
 
Hiyo safi mkuu maana kwa sie wanaume wakati mwingine korodani zinatakiwa ziachwe huru kidogo angalau zijigeuze geuze si kila siku zimebanwa wakati wa mchana zinapumzika dakika 20 wakati wa kuoga alafu zinabanwa tena
 
Hii tena,mbona safi sanaa,wala haina madhara yoyote jiachie baba kadri uwezavyo mwili upumue kwa raha zako.kwani ulizaliwa na nguo????
 
mie nikilala uchi sipati usingiz kabisa, mpaka nivae pensi laini otherwise nahisi kama siko safe.
 
Hata mie hufanya hivo siku moja moja najisikia kurelax very comfortable natandika kitanda changu vizuri kwa shuka za polyster nahakikisha chumba kina nyuzi joto 16C then nalala usingizi unakuja vzr!!
hapa unataka kututangazia kuwa unatumia AC sio haahahahahahahaha
 
Back
Top Bottom