Wakuu
Naomba kuuliza tu kwamba je watu kulala uchi wa Mnyama maana/mantiki yake ni nn?
mhhhhhhhh.........sio siri bado hamjanishawishi, ukizingatia kwangu uswahilini, panya, mende, kunguni viroboto, nge, etcmmmmmh! kulala uchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii .... raha hasa chumba kikiwa kisafi mashuka yananukia hewa safiiiiiii chini panabonyea basi ndo starehe!!
punguza umbea.habari ndio hiyoSay what now?
punguza umbea.habari ndio hiyo
Kama wewe ni mwana-ndoa, sidhani kama ni sahihi kulala ukiwa umevaa nguo kwani kufanya hivyo ni kumnyima mwenzi wako uhuru wa kuuchezea/kuutumia mwili wako, ambao ni halali yake!Wakuu
Naomba kuuliza tu kwamba je watu kulala uchi wa Mnyama maana/mantiki yake ni nn?
ni kweli lakini walau cha juu kidogo
weka picha piaSay what now?
naunga mkono hojaKazi kweli kweli!inategemea na mazoea jamani!ila ni hatari kwa wanaume kulala bila nguo kabisa!kama kuna game likiisha unavuta pensi lako laini au track laini unatinga safi!na bibie hata akila night dress bila kitu ndani si mbaya sana!
Mmmmmhhhh uswaz wanakuja na chelewa kuchungulia.
Kama wewe ni mwana-ndoa, sidhani kama ni sahihi kulala ukiwa umevaa nguo kwani kufanya hivyo ni kumnyima mwenzi wako uhuru wa kuuchezea/kuutumia mwili wako, ambao ni halali yake!
Alaaaa, kumbe eeh!!!
ngumu kumetha eh...lolmchana pichu na usiku pia lol
Mimi nalala uchi, lakini sio wa mnyama kama ulivyosema bali uchi wangu mwenyewe. Nalala uchi kwa sababu hata mchana navyovaa nguo huwa navaa kwa sababu ya kujisetiri. Sasa sijui nikiwa chumbani kwangu, sina safari wala mgeni unataka nivae nguo ili iwe nini.
Kipindi nasoma, nilikuwa nakaa chumbani na taa yangu ya mezani uchi na hapo na 'matirio' ndio yalikuwa yanazama ubongoni murua. Kukaa uchi raha bwana asikwambie mtu, seuze kulala?
Kwa namna ile unavyoipumzisha miguu yako kutoivalisha mibuti unapokuwa ndani basi ndio unatakiwa uutendee haki uchi wako unapokuwa room. Ni ufisadi mkubwa kupeleka sura beach kupunga hewa huku uchi hauna hata nukta ya kupunga hewa