tofali
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 4,010
- 3,422
Hizo nyuzijoto 16 unaziseti vipi kama uko Dar?
AC wewe acha mazoea
Hizo nyuzijoto 16 unaziseti vipi kama uko Dar?
Uc.hi unatisha nyie acheni masikharaaaa! Yaani ukimuona mtu ambae hujakusudia akiwa hivo mambo yako yote yanasimama kwa gundu, nuksi na mikosi.
Haha we hukai uchi ndani kwako?yaelekea watisha hadi wajiogopa mie bana navaaga vigown vidogo vya kuishia mapajani viko very loose bila hata ch.upi nikiwa kwangu napika nafua nadek namalizia viporo vya report za job nadance its nice na nakuwa light kufanya movements
Huwezi jua muda na saa ambayo mwenzi wako atakuhitaji, otherwise uweke ratiba jambo ambalo si kawaida! To be reliable, sleep naked especialy during the night....! Pili, rekebisha lugha kidogo, use euphemism! Tukioana huwa tunashiriki 'tendo la ndoa" na si NGONO kama unavyosema wewe!Jamani kwani mkioana ngono ni kila siku.???? Basi balaaj
tafuta wazaramu wakupe mantikiHuwezi jua muda na saa ambayo mwenzi wako atakuhitaji, otherwise uweke ratiba jambo ambalo si kawaida! To be reliable, sleep naked especialy during the night....! Pili, rekebisha lugha kidogo, use euphemism! Tukioana huwa tunashiriki 'tendo la ndoa" na si NGONO kama unavyosema wewe!
AC wewe acha mazoea
Mkuu nyuzijoto 16 kwa AC, kwa Dar ni baridi kali sana, hasa usiku ambapo milango haifunguliwi funguliwi! Unakaaje humo ukiwa uchi! Auunatumia mablanketi?!
Mimi nalala uchi, lakini sio wa mnyama kama ulivyosema bali uchi wangu mwenyewe. Nalala uchi kwa sababu hata mchana navyovaa nguo huwa navaa kwa sababu ya kujisetiri. Sasa sijui nikiwa chumbani kwangu, sina safari wala mgeni unataka nivae nguo ili iwe nini.
Kipindi nasoma, nilikuwa nakaa chumbani na taa yangu ya mezani uchi na hapo na 'matirio' ndio yalikuwa yanazama ubongoni murua. Kukaa uchi raha bwana asikwambie mtu, seuze kulala?
Kwa namna ile unavyoipumzisha miguu yako kutoivalisha mibuti unapokuwa ndani basi ndio unatakiwa uutendee haki uchi wako unapokuwa room. Ni ufisadi mkubwa kupeleka sura beach kupunga hewa huku uchi hauna hata nukta ya kupunga hewa