Kulala Bila Kuvaa Nguo Yoyote

Kulala Bila Kuvaa Nguo Yoyote

Haha we hukai uchi ndani kwako?yaelekea watisha hadi wajiogopa mie bana navaaga vigown vidogo vya kuishia mapajani viko very loose bila hata ch.upi nikiwa kwangu napika nafua nadek namalizia viporo vya report za job nadance its nice na nakuwa light kufanya movements

Mate yananidondoka...... ntaanza kukuvizia sasa, ole wako siku usahau kufunga mlango na funguo.......alafu inaelekea wakaa gorofani wewe.
 
Jamani kwani mkioana ngono ni kila siku.???? Basi balaaj
Huwezi jua muda na saa ambayo mwenzi wako atakuhitaji, otherwise uweke ratiba jambo ambalo si kawaida! To be reliable, sleep naked especialy during the night....! Pili, rekebisha lugha kidogo, use euphemism! Tukioana huwa tunashiriki 'tendo la ndoa" na si NGONO kama unavyosema wewe!
 
Usiku kuna mengi kuna vibaka,wezi ,jambazi, moto Nk

Unaweza kutoka nje mbio ukashangaa wasamaria wema wanakukimbia.
 
Huwezi jua muda na saa ambayo mwenzi wako atakuhitaji, otherwise uweke ratiba jambo ambalo si kawaida! To be reliable, sleep naked especialy during the night....! Pili, rekebisha lugha kidogo, use euphemism! Tukioana huwa tunashiriki 'tendo la ndoa" na si NGONO kama unavyosema wewe!
tafuta wazaramu wakupe mantiki
 
AC wewe acha mazoea

Mkuu nyuzijoto 16 kwa AC, kwa Dar ni baridi kali sana, hasa usiku ambapo milango haifunguliwi funguliwi! Unakaaje humo ukiwa uchi! Auunatumia mablanketi?!
 
Mkuu nyuzijoto 16 kwa AC, kwa Dar ni baridi kali sana, hasa usiku ambapo milango haifunguliwi funguliwi! Unakaaje humo ukiwa uchi! Auunatumia mablanketi?!

Labda kaishi ulaya
 
Uswahilini ukilala uchi basi asubuhi yake utakuta mtaa mzima wamehamia dirishani kwako wanaangalia sinema ya bure.
 
Mimi nalala uchi, lakini sio wa mnyama kama ulivyosema bali uchi wangu mwenyewe. Nalala uchi kwa sababu hata mchana navyovaa nguo huwa navaa kwa sababu ya kujisetiri. Sasa sijui nikiwa chumbani kwangu, sina safari wala mgeni unataka nivae nguo ili iwe nini.

Kipindi nasoma, nilikuwa nakaa chumbani na taa yangu ya mezani uchi na hapo na 'matirio' ndio yalikuwa yanazama ubongoni murua. Kukaa uchi raha bwana asikwambie mtu, seuze kulala?

Kwa namna ile unavyoipumzisha miguu yako kutoivalisha mibuti unapokuwa ndani basi ndio unatakiwa uutendee haki uchi wako unapokuwa room. Ni ufisadi mkubwa kupeleka sura beach kupunga hewa huku uchi hauna hata nukta ya kupunga hewa

Hapo kwenye red kunadhihirisha kweli wewe ni Mwana Mtoka Pabaya
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom