Wakuu
Naomba kuuliza tu kwamba je watu kulala uchi wa Mnyama maana/mantiki yake ni nn?
Starehe ya kukaa/kulala uchi wewe acha tu yaaan mimi hua kila siku nalala hivyo kwakweli kulala uchi ni sawa na kwujiachia ufukweni,, hapo unaweza kujiuliza ufukweni unalipia vp huu ufukwe wa bure chumban nao unashindwa kuutumia? Ulaya zipo hata beach za nyeti ambako mtu unaingia uchi kama ulivyozaliwa ili ukapate upepo nyeti zako zipate raha duniani!
Wanaoogopa kulala uchi ni wenye imani duni na ambao hawajiamini, ikitokea janga ukajikuta upo uchi mbele za watu kwakua ulishindwa kuvaa nguo kabla ya kukimbia ni mambo ya kawaida kwa wenye akili, kwahiyo hupaswi kulaumiwa.
Faida zake ni kama ifuatavyo
a) FOR MEN
- huimarisha mashine kwakuipatia nafasi ya kusimama pale inapotaka kusimama hii ni kama mazoezi kwa dushelele yako na inafanya misuli yake kua imara na hivyo kusimama ipasavyo! Mfano mzuri upo kwa masai na wale wanaovaa msuli muda mrefu, hawa mashine zao mara nyingi ziko vizur.
-Huufanya uume kuongezeka urefu na unene kwasababu mashine inapojaribu kusimama haipati kizuizi toka kwa nguo tunazo vaa, katika hili sina maelezo mengi just refer to darwin theory of use and disuse ( twiga alikua na shingo fupi lakini ilirefuka baada ya kujitahidi kuinyoosha kwa kula majani ya juu zaidi)
- Huondoa tatizo la ugumba, (mbegu zisizo na nguvu ya kuzaa). ikumbukwe kua mbegu zilizopo kwenye korodani hazitaki joto kali na ndio sababu mwili unapopata joto sana korodani hua zinashuka chini ili kujikinga dhidi ya kupoteza uhai wa mbegu ilizohifadhi! kwahiyo kujiweka mijinguo muda mwingi nikutafuta ugumba bia sababu.
b) KWa wanawake
- Husaidia kuepusha papuchi isichache na kutoa uvundo.
c) Kwa wote
- unaufanya mwili kua huru na kurelax na hatimae kurefusha maisha na kuongeza ufanisi katika utendaji wa kazi za kujenga taifa na hata akili kufanya kazi vizuri.
NAPENDA KUA UCHI MUDA MWINGI NIWAPO NYUMBANI PEKE YANGU AU NIKIWA NA MY WIFE WANGU ha ha ha...