Kula samaki: Ushauri

Kinajigeuza chenyewe kumbe shurti kigeuzwe
fish_6.gif
 
Wapwa na mabinamu

of recent nimehamia pemba ambako samaki ni chakula chao cha kila siku

ila mi kutoka bara naona maisha yatakuwa magumu kama nisipojua mila na desturi za kumla samaki

naombeni ushauri njia ipi bora ya kumla samaki hasa katika mazingira hayo?

natanguliza shukrani!:rolleyez:

Karibu kwenye kisiwa cha Furukobe......kuna samaki na bata!
 
huyu shurti lake akiliwa upande mmoja unageuzia mwigine ..hata kichwa kinaliwa binamu ..ikiwezekana na mifupa kama meno yako ni meupe na yenye nguvu ..kwa raha zako

Mmmmh! Hivi ina JF hakuna Jukwaa la Mapishi na Vyakula? Mimi mwenzenu mgeni huku Pwani, lugha zenu sizielewi.
 
kula samaki kwahitaji nafasi na samaki uliwa pande zote mbili na ukitaka kumla samaki usiogope shombo
 
aaah jamani ......mambo ya vijana mengi????????!!!!!!!!!
huku kama samaki lakini kumbe.....................dah hii dunia cjui inakoelekea
 
Pole pole wajameni samaki wa Pemba siyo huyo wa bara!!!Kuweni makini na lugha ya ughaibuni.Haya ni mambo na vijimambo vya Pwani ya Mashariki,walikotua waarabu na mila zao!!Sisi wa Mrima twayasikia tuu ,Tukijitia kuyajua wallahi yatatushinda!! Mie nachelea kutia neno katika hili la kumla samaki wa Pemba atiii!
 
Back
Top Bottom