Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,240
- 12,764
Mihogo huwa ina sumu inayoitwa cyanide. Sumu hii hupatikana kwa wingi sana kwenye mihogo michungu. Lakini pia ipo kwa kiasi fulani kwenye mihogo ile mitamu. Sumu hii ni kali sana, ikizidi inaua mara moja. Ndiyo hata wqle majasusi unaona wnajiua kwa kutumia cyanide iwapo wamekamatwa na hawataki kutoa siri.
Kwa mtu anayetumia sumu hii kidogokidogo kwa miaka mingi, huwa inamletea matatizo ya akili. Anapoteza uwezo wa kufikiri vizuri na kumbukumbu. Jambo zuri ni kuwa kupika mihogo huwa kunaivunja sumu hii, hatari ya kupata uzezeta wanayo wale wanaokula mihogo mibichi.
Unaweza dhani unaongeza 'nguvu' za kiume(Sijui aliyeanzisha huu uzushi wa mihogo kuongeza 'nguvu' ni nani?) kumbe unajiletea uzezeta polepole.
====
Je, ni kweli mihogo mibichi inasababisha uzezeta?
Tembelea Jamii check kupata jibu sahihi: UZUSHI - Ulaji wa Mihogo mibichi husababisha Uzezeta
Kwa mtu anayetumia sumu hii kidogokidogo kwa miaka mingi, huwa inamletea matatizo ya akili. Anapoteza uwezo wa kufikiri vizuri na kumbukumbu. Jambo zuri ni kuwa kupika mihogo huwa kunaivunja sumu hii, hatari ya kupata uzezeta wanayo wale wanaokula mihogo mibichi.
Unaweza dhani unaongeza 'nguvu' za kiume(Sijui aliyeanzisha huu uzushi wa mihogo kuongeza 'nguvu' ni nani?) kumbe unajiletea uzezeta polepole.
====
Je, ni kweli mihogo mibichi inasababisha uzezeta?
Tembelea Jamii check kupata jibu sahihi: UZUSHI - Ulaji wa Mihogo mibichi husababisha Uzezeta