afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
Huu uchunguzi wako! Loh! Tatizo ni jinsi umekuwa unaharibu sara zako maana kumbe kanisani huku una imajini maumbile ya kiume.
Kweli hujawahi kuyavuta kwa niaba yake?
hahahahah lohh
weee ni ule wakati wa sadaka tu
chop chop halafu alitembea mbele...
Khaaa mimi simjui kwa hiyo
siwezi vuta kwa niaba yake..
especially kanisani huwezi fanya hivyo...