Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Kwa haraka haraka Chadema aka ukuta, walitegemea zaidi uwepo wa majanga ili kupata kiki kama tujuavyo ni wengi wao ni mabingwa kwenye misiba na sintofahamu.
Tunaomba Mwenyezi Mungu atuepushe na majanga katika nchi yetu. Kutokuwepo kwa majanga kwa hakika ndilo kaburi la Chadema.
Ukiwa makini hili utaliona bila ubishi,karibuni kwa hoja na si viroja.
Tunaomba Mwenyezi Mungu atuepushe na majanga katika nchi yetu. Kutokuwepo kwa majanga kwa hakika ndilo kaburi la Chadema.
Ukiwa makini hili utaliona bila ubishi,karibuni kwa hoja na si viroja.