Ehud
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 2,685
- 337
CCM wametangaza kujivua gamba...lakini nyoka mnyama ambaye ndiye haswa mwenye sifa ya kujivua gamba hufanya hivyo kila baada ya muda fulani kwani gamba hilo hukomaa tena. Je CCM wameweka utaratibu wa kujivua gamba baada ya muda gani? Je kama nyoka anavyokufa baada ya kujivua gamba mara kadhaa wao CCM tutarajie kifo chao lini?